Kwanini China na India huwa hawashiriki kombe la dunia?

Kabla hujaandika uwe unajiridhisha kwanza,sio unakurupuka kama chafya[emoji1745]
 
Sijajua kuhusu india ila China alipigwa ban mwaka 2002.
Wachina wanafanana mno ilikuwa wanabadilishana halftime inaingia timu mpya kabisa.
Waliposhtukiwa wakapigwa ban
Kumbee Kuna mdau mmoja nae kasema HV HV Sasa kina matola hawajui kuhusu hili Matola
 
Yani ulivyosema sijui USA!!! Nimekuhurumia sana. Mmh!! Ni kombe lipi la dunia unamaanisha mkuu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…