Inaonyesha wapo vizuri mno kitaaluma..Wengi wanaosoma hicho Chuo ni wanaopata ufadhiri toka kwa mashirika ya umma, binafsi na International.
Kama BOT,TRA, SADC, OAU, IMF nk. ili wapate Watumishi Wenye Good Knowledge.
Huo mzigo c napata ile PHD yetu ya daslam[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Wakuu naomba kufahamu sababu zinazofanya chuo tajwa kuwa na ada Kubwa namna hiyo?
Ada pekee kwa Masters program inatozwa 16 milioni!
NAOMBA PROSPECTUS YA HIKI CHUO MKUU
NAOMBA PROSPECTUS YA HIKI CHUO MKUU
Dah!... Cha kimataifa kabisa
Kiasi fulani ni cha kimataifa. Lkn mimi binafsi naona bado hakijakidhi kuwa cha kimataifa, kwa sababu wanafunzi wote wanatoka ukanda huu wa Afrika, kama jina la chuo lilivyo. Hakina International students wanaotoka outside the region.
Huyo mwenzake alikuwa ni mimi. Maana nakumbuka tulikuwa wawili tu kweli.Labda nature ya wanafunzi wanaosoma hapo, rafiki yangu mmoja alisoma hapo.. Ananiambia walikuwa 24 tu kwenye darasa lao. Wawili tu, yeye na mwenzio ndio walikuwa waTz
au wa asili ya Tz.
Na wengi walikua wametoka makazini, mfano yeye alitoka moja ya agency za UN.. Unaona sasa?
Haaaa haya, mwenzio alitoka WFP, wewe ulitoka wapi? πHuyo mwenzake alikuwa ni mimi. Maana nakumbuka tulikuwa wawili tu kweli.
Mimi nilitokea home asee π€£Haaaa haya, mwenzio alitoka WFP, wewe ulitoka wapi? π
Umenichunia halafu!
Kwema??
Mimi nilitokea home asee π€£Haaaa haya, mwenzio alitoka WFP, wewe ulitoka wapi? π
Umenichunia halafu!
Kwema??
Mimi nilitokea home asee π€£Haaaa haya, mwenzio alitoka WFP, wewe ulitoka wapi? π
Umenichunia halafu!
Kwema??
Kama ulitokea home basi home wako vizuri sio kwa ada ile.Mimi nilitokea home asee π€£
Sijakuchunia bana mbona tunakutana kwenye nyuzi.
All is well wewe je?
Hahaha umeamini kweli? Nilikuwa natania tu bana.Kama ulitokea home basi home wako vizuri sio kwa ada ile.
All is well champ! Heri ya mwaka mpya ujao.
Ni chuo Cha kimataifaWakuu naomba kufahamu sababu zinazofanya chuo tajwa kuwa na ada Kubwa namna hiyo?
Ada pekee kwa Masters program inatozwa 16 milioni!
Pale wanauza vyeti vya masters! Executive mode wanasima saa1800-2100 non stop na test Huwa hawafanyi.
Kama una hela unaenda kununua cheti pale.