Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Imetokea kwenye mechi nyingi. Sasa imekuwa kawaida.
Chama huwa hachezi vyema wala kuonyesha cheche zake Simba inapocheza na Yanga.
Tatizo nini hasa? Maana anapokamatika Chama, Simba hupotea kabisa.
Yaani Simba wa kumtegemea Kibu kweli!?
Hamsa!
Chama huwa hachezi vyema wala kuonyesha cheche zake Simba inapocheza na Yanga.
Tatizo nini hasa? Maana anapokamatika Chama, Simba hupotea kabisa.
Yaani Simba wa kumtegemea Kibu kweli!?
Hamsa!