Mpembuzi II
Member
- Jun 4, 2016
- 18
- 21
Comedy wa EATV hawajuiZa comed EATV je?
[emoji23] [emoji23]Kwani Lazima kuiga kila kitu? Sababu Mr Bean kafanya vile imekua sheria kwamba hata wachekeshaji wabongo waige? Halafu Mr Bean ni vitendo wakati Hart ni maneno huoni kwamba unaji contradict mwenyewe vipi watu wasioelewa lugha anayotumia Hart(English). Unajidai wa mbele wakati unaishi Ombokoro
Ulichofanya hapa ni sawa na kupongeza Watu/Kikundi/Kampuni kwa poor PR.Majibu yake ni marahisi kama siyo mepesi sana Mkuu....
Hawa ' Jamaa '....
- Hawajui ' kujipendekeza ' wala ' kujikomba ' kwa Mtu na hawaendekezi sana ' njaa '.
- Wanapambana sana na kujituma mno wenyewe.
- Hawataki kujihusisha na kuwa ' mabegi ' ya Drugs barons wa Tanzania kama wanavyofanyiwa wengine.
- Wanaridhika na kumshukuru Mwenyezi Mungu sana kwa chochote kile anachowapa kwa ' Jasho ' lao na kamwe hawapendi ' magumashi ' kama wenzao wengi.
- Tungo zao nyingi tena 100% ni za ukweli mtupu na usisahau kuwa 100% ya Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
Umeeleza changamoto zao vzur vipi sasa solutions ?Jamaa wanajitahidi sana...haswa Sumaku ni moja Waigizaji wanaonivutia ndio maana huwa nafuatilia huu mchezo, ila nadhani Sumaku hatumiki fully kwa uwezo alio nao.
Huwa namsikia hata kwenye michezo mingi ya redio kwenye redio tofauti tofauti...kwa sasa kuna mchezo wa redio RFA namsikia unaitwa 'kumekucha' I think.
ILA UKWELI LAZIMA USEMWE JAPO NI MCHUNGU
Hawa jamaa wananikera sana...wapo hewani kwa muda mrefu, zaidi ya miaka kumi sasa kama sikosei lakini sioni maendeleo yoyote haswa kwenye sanaa wanayoifanya...production bado ni poor na ya kimasikini sana.
Inakera kuona kipindi kikongwe na waigizaji wakongwe wa kiwango kile kutengeneza mchezo unaohitaji kuonyesha tukio la siku tofauti na Waigizaji wanashindwa hata kubadili nguo..ile sio stage play, ingawa hata stage play wanafanya zaidi ya hapo.
Production kwa sehemu kubwa inafanywa nje (outdoor) kwa lengo kubwa la kukwepa gharama, haya si ya kufanywa na kundi kama lile tena wanaofanya kazi na TV kubwa kama ITV. Tatizo ni nini? vifaa? sasa kama wao inawashinda hao underground wataweza vipi iwapo watasema tunataka kuwa kama Mizengwe?
Kuna mdau hapo juu naona ameshauri waongezewe muda...nadhani ameshindwa kunotice kwamba jamaa hawana 'content' inayotosheleza, ubunifu unagotea hapo na kwamba wanategemea sana uwezo wa Muigizaji binafsi kusukuma muda, ndio maana utaona huwa wanavuta muda sana kabla kuanza kipindi ili walau wafikie muda..kile kipindi ni cha nusu saa kutoka tatu kamili au na dakika mpaka tatu na nusu, lakini hawajazi huo muda wewe unasema waongezewe.
Sasa sijui tatizo lao haswa ni nini, huwa mpaka najiuliza kama Mzee mengi kweli huwa anajali ni nini kinafanyika kwenye kampuni yake. Labda wanakosa washauri wazuri au wao wenyewe hawana cha kushauriana na kampuni yao (ITV)
Sifa kuu ya binadamu/kazi/biashara yoyote ni kukua kutoka ulivyokuwa awali, hata binaadamu asiye 'grow' hana lolote la kufunza wengine.....Wanaofuatilia Isidingo hapa hebu waniambie jinsi inavyoenda ikibadilika, sio lazima waigizaji wabadilishwe lakini walau production, mandhari n.k.
Ukisoma vizuri nilichoeleza kama tatizo ndicho kinachotakiwa kurekebishwa.Umeeleza changamoto zao vzur vipi sasa solutions ?
Ulichofanya hapa ni sawa na kupongeza Watu/Kikundi/Kampuni kwa poor PR.
Au mwisho wa mwaka una nusu ya bidhaa dukani zimeisha muda wake, alafu ukiulizwa unajisifu 'mimi huwa sihangaiki kutangaza biashara yangu, Wateja wasipokuja basi nakaa tu'.
Moja ya kazi za sanaa ni kuhabarisha, kama Redio, Magazeti n.k, sasa kuna haja gani kuchapisha Gazeti kila siku kama huna Wasomaji wa kutosha? ni lazima mfanye bidii ili jamii ijue uwepo wenu...kuwa maarufu sio lazima kutokane na kufanya mambo ya kijinga.
Milard Ayo hafanyi ujinga lakini ni jamii kubwa sasa wanafuatilia anachofanya, na ndio inamrahisishia kazi yake ambayo ni kuhabarisha...hata kundi la Sanaa lazima likuwe, liwe na Wafuatiliaji wengi wa ndani na nje ya nchi kadri inavyowezekana.
Watu kama kina Oprah walifika walipofika kwa kufanya bidii ya kufikia watu na sio kujifungia sehemu moja na kudhani kwamba audience ndio yenye wajibu wa kukutafuta.
Sio kila kitu ni cha kupongeza, poor PR ni uzembe na kukosa ubunifu...tuwahimize wakuwe...hakuna mtu anasema wafanye anachofanya Gigy money au Masogange ili ndio sanaa yao ijulikane, la hasha.
Kevin Hart huwa haongei mkuu? Au huyo wa Nanjilinji?!Kwani tanzania kuna Comedian?
hahaaaaa wajifunze kwa wenzao basi
sio kuchekesha maneno bali vitendo. kama maneno kwa asiejua lugha hiyo je?
hawaoni wanavochekeaha wenzao kina Mr Bean kina Chaplain au Kelvn Hart...
ndomaana me siangaliagi utumbo huo wa Mizengwe nk.
Let me add mkuu mwambie sio chaplain ni ChaplinSasa kama huangalii, umejuaje kuwa wanahitaji kujifunza kwa hao uliowataja? Na haitwi Kelvn Hart, ni Kevin Hart.
Utumwa wa akili na kuwa brainwashed na umagharibi ni kitu kibaya sana!Kwani tanzania kuna Comedian?
hahaaaaa wajifunze kwa wenzao basi
sio kuchekesha maneno bali vitendo. kama maneno kwa asiejua lugha hiyo je?
hawaoni wanavochekeaha wenzao kina Mr Bean kina Chaplain au Kelvn Hart...
ndomaana me siangaliagi utumbo huo wa Mizengwe nk.
Sidhani kama likes ni kiashiria kuwa ulichoongea ni cha maana au ndio ukweli...kama nipo kwenye show ya ya Afande alafu akavua nguo na uwanja mzima ukashangilia kasoro mimi haimaanishi kuwa alichofanya ni sahihi.Likes nilizopata tu kwa nilichokiandika na ambazo hadi sasa zinazidi tu kumiminika na zimefikia 25 zinapingana na aina ya ' u.p.u.m.b.a.v.u. ' wako wa ' kutukuka ' uliouandika hapa na sishangai ndiyo maana tokea uandike huu ' uharo ' wako hadi sasa hujapata ' like ' hata moja tu. Na ukiona Mtu hanielewi nini huwa naandika humu JF jua anastahili kuwepo Hospitali ya Wagonjwa wa ' akili ' ya Mirembe Mkoani Dodoma.
uchambuzi safi..Majibu yake ni marahisi kama siyo mepesi sana Mkuu....
Hawa ' Jamaa '....
- Hawajui ' kujipendekeza ' wala ' kujikomba ' kwa Mtu na hawaendekezi sana ' njaa '.
- Wanapambana sana na kujituma mno wenyewe.
- Hawataki kujihusisha na kuwa ' mabegi ' ya Drugs barons wa Tanzania kama wanavyofanyiwa wengine.
- Wanaridhika na kumshukuru Mwenyezi Mungu sana kwa chochote kile anachowapa kwa ' Jasho ' lao na kamwe hawapendi ' magumashi ' kama wenzao wengi.
- Tungo zao nyingi tena 100% ni za ukweli mtupu na usisahau kuwa 100% ya Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
Hivi Jambo na vijambo ratiba yao ipo siku gan na sa ngapNawakubali sana mizengwe na jambo na vjambo n wabunfu sana tatizo nyota tu bongo!!!
mkuu mizengwe inafuatiliwa sana, haswa na watu wazima na wanaojielewa mara nyingi nikiwa ofisini au kwenye mizunguko yangu siku ya jumatatu hua nasikia wakisemwa kwa kazi nzuri wanayofanya siku ya jumapili.. Kitu kinachofanya hawa jamaa wasivume ni kutokuwa active kwenye social network.. ie instagram, facebook, twitter.. Kazi wanafanya vizuri na Tanzania hakuna wacheshi wa ukweli na wazuri kama hawa, udhaifu wao wamekosa management nzuri ya kuwapa kiki, na kuwaweka katika high classic ila wanafuatiliwa sana na watu(VIPAJI WANAVYO VIKUBWA SANA ZAIDI YA WALE WAVAA MAWIGI NA KUJIPAKA WANJA MADUME WAZIMA)Ulichofanya hapa ni sawa na kupongeza Watu/Kikundi/Kampuni kwa poor PR.
Au mwisho wa mwaka una nusu ya bidhaa dukani zimeisha muda wake, alafu ukiulizwa unajisifu 'mimi huwa sihangaiki kutangaza biashara yangu, Wateja wasipokuja basi nakaa tu'.
Moja ya kazi za sanaa ni kuhabarisha, kama Redio, Magazeti n.k, sasa kuna haja gani kuchapisha Gazeti kila siku kama huna Wasomaji wa kutosha? ni lazima mfanye bidii ili jamii ijue uwepo wenu...kuwa maarufu sio lazima kutokane na kufanya mambo ya kijinga.
Milard Ayo hafanyi ujinga lakini ni jamii kubwa sasa wanafuatilia anachofanya, na ndio inamrahisishia kazi yake ambayo ni kuhabarisha...hata kundi la Sanaa lazima likuwe, liwe na Wafuatiliaji wengi wa ndani na nje ya nchi kadri inavyowezekana.
Watu kama kina Oprah walifika walipofika kwa kufanya bidii ya kufikia watu na sio kujifungia sehemu moja na kudhani kwamba audience ndio yenye wajibu wa kukutafuta.
Sio kila kitu ni cha kupongeza, poor PR ni uzembe na kukosa ubunifu...tuwahimize wakuwe...hakuna mtu anasema wafanye anachofanya Gigy money au Masogange ili ndio sanaa yao ijulikane, la hasha.
Ni vizuri kusikia wanafuatiliwa kwani hata mimi nimfuatiliaji ndio maana nimeona niainishe yale ninayodhani ni mapungufu yanayoonekana wazi yapo ndani ya uwezo wao iwapo tu watatulia.mkuu mizengwe inafuatiliwa sana, haswa na watu wazima na wanaojielewa mara nyingi nikiwa ofisini au kwenye mizunguko yangu siku ya jumatatu hua nasikia wakisemwa kwa kazi nzuri wanayofanya siku ya jumapili.. Kitu kinachofanya hawa jamaa wasivume ni kutokuwa active kwenye social network.. ie instagram, facebook, twitter.. Kazi wanafanya vizuri na Tanzania hakuna wacheshi wa ukweli na wazuri kama hawa, udhaifu wao wamekosa management nzuri ya kuwapa kiki, na kuwaweka katika high classic ila wanafuatiliwa sana na watu(VIPAJI WANAVYO VIKUBWA SANA ZAIDI YA WALE WAVAA MAWIGI NA KUJIPAKA WANJA MADUME WAZIMA)
huyo kevin hart sijawahi kivutiwa nae labda nyota tu mana ameukwaa hadi hollywood walk fameSasa kama huangalii, umejuaje kuwa wanahitaji kujifunza kwa hao uliowataja? Na haitwi Kelvn Hart, ni Kevin Hart.
You nailed it Mkuu[emoji16]Majibu yake ni marahisi kama siyo mepesi sana Mkuu....
Hawa ' Jamaa '....
- Hawajui ' kujipendekeza ' wala ' kujikomba ' kwa Mtu na hawaendekezi sana ' njaa '.
- Wanapambana sana na kujituma mno wenyewe.
- Hawataki kujihusisha na kuwa ' mabegi ' ya Drugs barons wa Tanzania kama wanavyofanyiwa wengine.
- Wanaridhika na kumshukuru Mwenyezi Mungu sana kwa chochote kile anachowapa kwa ' Jasho ' lao na kamwe hawapendi ' magumashi ' kama wenzao wengi.
- Tungo zao nyingi tena 100% ni za ukweli mtupu na usisahau kuwa 100% ya Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
Sidhani kama likes ni kiashiria kuwa ulichoongea ni cha maana au ndio ukweli...kama nipo kwenye show ya ya Afande alafu akavua nguo na uwanja mzima ukashangilia kasoro mimi haimaanishi kuwa alichofanya ni sahihi.
We ukihara watu wakakushangilia basi ndio unaongeza bidii mpake udhurike msamba?...nani kakwambia huko kushangilia kunamaanisha unafanya cha maana?
Usiogope kusema ukweli kwa kuhofia kukosa likes...na msimamo wangu ni ule ule huwezi kusifia poor PR kama ushujaa, lazima muwahimize Wenzenu wajitangaze wafike mbali..wawe 'talk of the town'