Kwanini Comedians wa MIZENGWE wanapotezewa sana?

Hv hawa wasanii huwa wanakuwa funded vipi ? Wanalipua kisa mtaji sasa mitaji inapatikana vp ?
 
Kuwachekesha watanzania kipindi hiki cha Magufuli inabidi wafanye kazi ya ziada
 
hakuna comedians wakali bongo kama hawa jamaa, kiukweli huwa nasikitika sana ninapokosa kipindi chao. Tatizo watakuwa hawana team yenye nguvu nyuma yao maana siunajua sanaa ya bongo,,,kipaji siyo issue, wanaangalia nani yuko nyuma yako.
 
Hiyo namba tano

Ni janga had I kwa cdm
 
Umetumia akili nyingi sana mkuu! Heshima kwako!
 
aisee mizengwe habari ingine! hapana kitu kizuri bila kasoro...ila hawa jamaa wapeni sifa zao!..hapana komedi ingne nacheki zaidi ya MIZENGWE!....wabunifu,maisha ya uhalisia ya kitz,lugha inaeleweka hata ukiwa na familia unachek!..Binafsi siruhusu wanangu kucheki komedi ya EATV,TBC ya kina joti!.....Maringo 7,,,kina babu,mkwere HONGERENI
 
mizengwe wapo vizuri sana-tangu mwanzoni hawana mpinzani,wamejitahidi sana maintain status yao.wangepata support na airtime ya kutosha naamin wangekuwa mbali sana hawa jamaa.Kila jumapili lazima niwachek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…