Na ajue sio kila kitu lazima ufanye kama fulani wa kimataifa hizo ndo komedi asilia zinazungumzia uhalisi wa bongo kwa mfumo wa vichekesho tatizo watu wakishaona vya wenzetu akili inafungiwa huko kumbadilisha ni kazi Mr bean na champlin wanachekesha lakini vingi ni vituko na uhalisi kwa maisha yetu ni kidogo