kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
Usishangae mkuu wabongo wanajifanya wa mbele sana na hupenda kukana wanayoyafanya. Hivi ushawahi kujiuliza kwanini mawingu redio inakimbiza sana mpaka sasa wakati watu humu wengi hudai kwamba hawaisikilizi?Sasa kama huangalii, umejuaje kuwa wanahitaji kujifunza kwa hao uliowataja? Na haitwi Kelvn Hart, ni Kevin Hart.