Kwanini Comedians wa MIZENGWE wanapotezewa sana?

Kwanini Comedians wa MIZENGWE wanapotezewa sana?

Hivi Masele bado yupo? Jamaa nilikuwa namkubali sana uchekeshaji wake.
 
Majibu yake ni marahisi kama siyo mepesi sana Mkuu....

Hawa ' Jamaa '....

  1. Hawajui ' kujipendekeza ' wala ' kujikomba ' kwa Mtu na hawaendekezi sana ' njaa '.
  2. Wanapambana sana na kujituma mno wenyewe.
  3. Hawataki kujihusisha na kuwa ' mabegi ' ya Drugs barons wa Tanzania kama wanavyofanyiwa wengine.
  4. Wanaridhika na kumshukuru Mwenyezi Mungu sana kwa chochote kile anachowapa kwa ' Jasho ' lao na kamwe hawapendi ' magumashi ' kama wenzao wengi.
  5. Tungo zao nyingi tena 100% ni za ukweli mtupu na usisahau kuwa 100% ya Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
Umenena mkuu[emoji818]
 
Sasa kama huangalii, umejuaje kuwa wanahitaji kujifunza kwa hao uliowataja? Na haitwi Kelvn Hart, ni Kevin Hart.
Hahaha....hilo swali akijibu vizuri unicall Bablai !!!

Huyo Chaplain mwenyewe sijui ni yupi na sio Chaplin.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Majibu yake ni marahisi kama siyo mepesi sana Mkuu....

Hawa ' Jamaa '....

  1. Hawajui ' kujipendekeza ' wala ' kujikomba ' kwa Mtu na hawaendekezi sana ' njaa '.
  2. Wanapambana sana na kujituma mno wenyewe.
  3. Hawataki kujihusisha na kuwa ' mabegi ' ya Drugs barons wa Tanzania kama wanavyofanyiwa wengine.
  4. Wanaridhika na kumshukuru Mwenyezi Mungu sana kwa chochote kile anachowapa kwa ' Jasho ' lao na kamwe hawapendi ' magumashi ' kama wenzao wengi.
  5. Tungo zao nyingi tena 100% ni za ukweli mtupu na usisahau kuwa 100% ya Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
Namba tano nimeipenda sana mkuu[emoji106] [emoji106]
 
Sasa kama huangalii, umejuaje kuwa wanahitaji kujifunza kwa hao uliowataja? Na haitwi Kelvn Hart, ni Kevin Hart.
Na ajue sio kila kitu lazima ufanye kama fulani wa kimataifa hizo ndo komedi asilia zinazungumzia uhalisi wa bongo kwa mfumo wa vichekesho tatizo watu wakishaona vya wenzetu akili inafungiwa huko kumbadilisha ni kazi Mr bean na champlin wanachekesha lakini vingi ni vituko na uhalisi kwa maisha yetu ni kidogo
 
Nampendaga yule babu wao, daah! Ananifurahisha saaana.
 
jamaa wako poa sana, nampenda malingo 7
 
Habarini Wadau,

Mbona waigizaji wa Mizengwe ni wazuri sana na wana vipaji ila hawapewi recognition sana kama comedians wengine?

Japo kipindi chao cha jumapili kinachorushwa na ITV ni kifupi ila watu kama SUMAKU, MKWERE, MARINGO 7 na wengineo ni waigizaji wazuri kweli, haswa Sumaku.

Pia michezo yao ina mafunzo kwa jamii.

Kwanini wanasahaulika?
My best Comedy show in Africa...jamaa wanajua saaanaaa.
 
Kwani tanzania kuna Comedian?
hahaaaaa wajifunze kwa wenzao basi
sio kuchekesha maneno bali vitendo. kama maneno kwa asiejua lugha hiyo je?
hawaoni wanavochekeaha wenzao kina Mr Bean kina Chaplain au Kelvn Hart...
ndomaana me siangaliagi utumbo huo wa Mizengwe nk.
Bila unafiki bongo maisha hayaendi
 
Kwani tanzania kuna Comedian?
hahaaaaa wajifunze kwa wenzao basi
sio kuchekesha maneno bali vitendo. kama maneno kwa asiejua lugha hiyo je?
hawaoni wanavochekeaha wenzao kina Mr Bean kina Chaplain au Kelvn Hart...
ndomaana me siangaliagi utumbo huo wa Mizengwe nk.
acha ulimbukeni mizengwe wapo vizuri. kwanza sio chaplain=chaplin.sasa huyo kevin hart anachekesha nini zaidi ya makelele na kurukaruka ? bora chriss rock
 
Kwani tanzania kuna Comedian?
hahaaaaa wajifunze kwa wenzao basi
sio kuchekesha maneno bali vitendo. kama maneno kwa asiejua lugha hiyo je?
hawaoni wanavochekeaha wenzao kina Mr Bean kina Chaplain au Kelvn Hart...
ndomaana me siangaliagi utumbo huo wa Mizengwe nk.
Kwani Lazima kuiga kila kitu? Sababu Mr Bean kafanya vile imekua sheria kwamba hata wachekeshaji wabongo waige? Halafu Mr Bean ni vitendo wakati Hart ni maneno huoni kwamba unaji contradict mwenyewe vipi watu wasioelewa lugha anayotumia Hart(English). Unajidai wa mbele wakati unaishi Ombokoro
 
Back
Top Bottom