Kwanini Computer za siku hizi zina SSD ndogo ndogo?

Kwanini Computer za siku hizi zina SSD ndogo ndogo?

Siku hizi storage sio tena kwenye device, hiyo ni impact ya digital cloud service. Movie zipo online streaming, hamana haja ya kudownload, music ipo online streaming pia, document zipo google drive etc.

Games sahivi watu wana play online. Hamna haja ya kudownlaod etc.

Pia Internet imekua affordable na availability ipo juu sana. Sasa hamna tofauti kati ya kuwa na kitu kwenye HDD au cloud
Kwa mabundle haya haya ya tigo au kuna mengine?

Bado internet huku kwetu haiaminiki. Kuhifadhi bado ni muhimu.
 
Siku hizi storage sio tena kwenye device, hiyo ni impact ya digital cloud service. Movie zipo online streaming, hamana haja ya kudownload, music ipo online streaming pia, document zipo google drive etc.

Games sahivi watu wana play online. Hamna haja ya kudownlaod etc.

Pia Internet imekua affordable na availability ipo juu sana. Sasa hamna tofauti kati ya kuwa na kitu kwenye HDD au cloud
Utofauti upo Online & Offline kuna bando kukata au mtandao ku buffers lakini kama ume download huwazi... Mfano huwezi kusema eti "kwa vile maji yanatoka kwenye bomba masaa 24/7 nyumbani kwangu basi haina haja kujaza maji kwenye mapipa au simtank ntakua nakinga moja kwa moja bombani ndo natumia" hapo utakua unajitekenya na kujicheka mwenyewe..
 
Labda yako / utunzaji wako mkuu. Nina SSD Sandisk 2TB, na mpango wa kuongeza ingine 1. Nikikwambia ina muda gani na inavodunda utashangaa.
SSD zinategemea kiasi gani cha data unachoandika nakuzifuta, na ndio kitadetermine lifespan yake, sio kama HDD, afu tafta namna yakufanya manual recovery ya data kwenye SSD kama utaipata kama ilivyo kwa HDD, fanya research afu uje nitakujibu, usiangalie tu umekaa na SSD kwa muda gani, pia angalia unawrite na kufuta data mara ngapi kwenye SSD, ni very horrible.
 
Wadau najiuliza kwann siku izi computer nyingi unakuta storage yake ni 256 yaan imekuwa common
Unakuta mashine ina processor kubwa ila storage ndogo.

Watalaam naomba mnijuze

Storage sio ubora wa computer unakuata mtu ana computer ya duos core ina hard disc ya 1B anajifisu juu ya computer ya 9th generation
Kiufupi storage unanunua kulingala na salio lako.mfukoni ni kama tu iPhone ya 32g to 1T bei ya storage inategemea na pesa yako
 
Zina storage ndogo kwa sababu si salama zaidi kustore vitu kwenye computer au laptop salama kwa external hard disc thus huitaji kuwa na storage kubwa
 
SSD zinategemea kiasi gani cha data unachoandika nakuzifuta, na ndio kitadetermine lifespan yake, sio kama HDD, afu tafta namna yakufanya manual recovery ya data kwenye SSD kama utaipata kama ilivyo kwa HDD, fanya research afu uje nitakujibu, usiangalie tu umekaa na SSD kwa muda gani, pia angalia unawrite na kufuta data mara ngapi kwenye SSD, ni very horrible.
Mkuu, wewe ndio leo nakusikia kuwa life span ya hizi SSD zinategemea kiasi cha data. Naweza kuwa sina utaalamu huo sana, ila tu nikwambie hizi storage devices zinategemea na utunzaji wako na matumizi yako.

Sina mitikasi ya kusema nawrite na kufuta kila mara, mimi matumizi na store data tu na kuangalia movies sometimes, toka nmenunua SSD nime experience vitu vipya na vizuri kulinganisha na hizi HDD na nina HDD ambazo ziliharibika mapema sana kuzidi hata hizi SSD.

Ila nitafatilia hiki usemacho, ila HDD haziingii kwa SSD kivyovyote, hata life span sina uhakika ila siwezi kukupinga pia
 
Mkuu, wewe ndio leo nakusikia kuwa life span ya hizi SSD zinategemea kiasi cha data. Naweza kuwa sina utaalamu huo sana, ila tu nikwambie hizi storage devices zinategemea na utunzaji wako na matumizi yako.

Sina mitikasi ya kusema nawrite na kufuta kila mara, mimi matumizi na store data tu na kuangalia movies sometimes, toka nmenunua SSD nime experience vitu vipya na vizuri kulinganisha na hizi HDD na nina HDD ambazo ziliharibika mapema sana kuzidi hata hizi SSD.

Ila nitafatilia hiki usemacho, ila HDD haziingii kwa SSD kivyovyote, hata life span sina uhakika ila siwezi kukupinga pia
kwenye ssd kuna hivi vitu Slc, Mlc, Tlc, Qlc hio herufi ya mwanzo inamaanisha Single, Multi, Tri na Quad, yaani idadi ya bit kwenye kila seli. Kuanzia single kwenda Quad jinsi bit zinavyokua nyingi kwenye seli ndio jinsi ssd inavyokua na maisha mafupi ndio jinsi bei inavyokua rahisi.

Slc na Mlc mara nyingi zinatumika kwenye enterprise vitu servers na mambo mengine.

Tlc na Qlc ndio tunazotumia sisi wateja wa kawaida.
images.jpeg-48.jpg

Sema Cycle 1000 still ni kubwa, ukinunua ssd ya 1TB ina maana ufute na kuweka vitu vya 1TB mara 1000 ndio inaanza kufa sio leo.

Hata kila siku ukifuta itachukua miaka 3.
 
kwenye ssd kuna hivi vitu Slc, Mlc, Tlc, Qlc hio herufi ya mwanzo inamaanisha Single, Multi, Tri na Quad, yaani idadi ya bit kwenye kila seli. Kuanzia single kwenda Quad jinsi bit zinavyokua nyingi kwenye seli ndio jinsi ssd inavyokua na maisha mafupi ndio jinsi bei inavyokua rahisi.

Slc na Mlc mara nyingi zinatumika kwenye enterprise vitu servers na mambo mengine.

Tlc na Qlc ndio tunazotumia sisi wateja wa kawaida. View attachment 2721110
Sema Cycle 1000 still ni kubwa, ukinunua ssd ya 1TB ina maana ufute na kuweka vitu vya 1TB mara 1000 ndio inaanza kufa sio leo.

Hata kila siku ukifuta itachukua miaka 3.
Maelezo yameshiba kabisa mkuu, upande huu wewe ni guru kabisa mkuu. Kudos
 
Feature ni Cloud storage Wakuu, Mimi kwa sasa mfano PC yangu haina Chochote zaidi ya OS na Application chache kama Microsoft Package zile the rest vitu vyote vipo kwa Cloud kuanzia streaming za Music na Movies vyote nafanya online sina haja ya download, Changamoto ya ili uku kwetu network covarage sio kubwa sana
 
Back
Top Bottom