Siyo kondom peke..
1. Piga hodi x 3
2. most dawaz ni kutwa x 3
3. Yesu alifufuka siku ya 3
4. Enzi zetu UDSM kufeli masomo matatu unadisco
5. FM academia nao SAMAKI ANA VIPANDE VINGAPIII..??
6. Kwenye footbal kadi mbili za njano unapewa ya tatu nyekundu
7. Kwenye mpira hapo zamani kona tatu mfululizo zinazaa penati moja