Kwanini condoms zinakaa tatu?


8. Mechi ya mpira ukifunga goli 3 unapewa mpira uondoke nao
9. Kuna kitu kwenye ukiristo kinaitwa Utatu Mtakatifu
10. Uchaguzi TZ Bara kuna masanduku 3; Urais, Ubunge na Udiwani
 
Mara nyingi huwa najiuliza kwanini condoms zipo tatu.

condoms zina packaging za aina mbili
kwanza (mchepuko): zinakaa tatu. maana yake ni kwa matumizi ya wasafir au short timer
pili(main road): family package. hizi zinakaa 10+

kwa waliooa na kukaa na mwenzie zaid ya mwaka mmoja watanielewa zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…