zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Vita zimeanza 1960, hao wananchi walikua na uelewa gani? Enzi hizo Zaire illiteracy ilikua zaidi ya 70%viongozi,wananchi wenye akili ndio walisababisha hii vita,hawawezi kukubali kuona maliasili zao znasombwa
LFP hata Tesla wanatumia sio China pekee ndio mwenye nayoLfp batteries na research nyengine ni technology za sasa, Hebu tell me how will bill gate ama Google wawe na Lfp huko miaka ya 70, Sijakataa kwamba zipo initiative za kutengeneza vifaa sasa hivi bila Cobalt,
Na irony ya Hii comment yako Lfp batteries zinatengenezwa na kampuni za China kama BYD, so still umewapa Credit China na kuwa piga Ko Unaowatetea.
Na Cobalt si battery tu hapo umetaja tumizi moja tu katika Mamia ya matumizi. Mfano gari inaweza litumie Cobalt free battery ila likatumia Air bag iliotokana na Cobalt.
Haya mafuta tunayoyatumia ili kubadili Toka crude kuja kawaida unahitaji Cobalt, rangi tunazotumia zinahitaji Cobalt, Alloy Za kwenye Engine unahitaji Cobalt etc vyote hivyo vipo kwenye Magari.
Boss Electronic za zamani haitumii Rare earth material, mfano engine ya kizamani kama Induction haina rare earth material ila ya kisasa utahitaji,Computer ipi hiyo inaweza kufanya kazi bila rare earths ? Una andika kitu unacho kielewa kweli ? Unajua REES zina cover maeneo mangapi katika Computer mpaka ifanye kazi
Lfp ni ya 2022 na ni battery nzito mno possibility ni utumie kwenye hivyo vifaa vya matani.LFP battery zinatumika sio kitu cha kuzungumzia kama utafiti
Tesla ananunua BYD fanya homework yako vizuri.LFP hata Tesla wanatumia sio China pekee ndio mwenye nayo
Acha kuishi ukale Cobalt sio The gold of the 21st century ukijiuliza kwa nini Rare earths zimepewa hilo jina na mataifa makubwa yanapambana kuhodhi na vita kubwa mbili katika ya marekani na China katika awamu hizi mbili hata hii ya tatu zitahusisha maeneo haya utaacha kuona na kusema kila mara Cobalt Cobalt kama vile ndio kila kitu na Congo pekee ndio waliyonayo dunia nzima.
Afrika tungeachwa tutengeneze nchi wenyewe, tuchapane vilivyo sisi kwa sisi bila msaada wa huko nje, akili ingekaa sawa...kilichokua kinatokea Angola kilikuwa kinafikirisha sana.
..visima vya mafuta vya makampuni ya Marekani vilikuwa upande wa Mpla ambao walikuwa wanasaidiwa kijeshi na Cuba.
Wewe unaandika vitu unavyo vielewa kweli unataja processor, mara storage sijui transistor kwa hiyo hapa umeona rare earths haina matumizi katika haya maeneo uliyotaja ? Unakielewa kweli unacho kiandika ?Boss Electronic za zamani haitumii Rare earth material, mfano engine ya kizamani kama Induction haina rare earth material ila ya kisasa utahitaji,
Computer za zamani semiconducor hazikutumia laser ama sophisticated technology nyengine, kama hujui Computer material kubwa kabisa inayotumika ni mchanga, mchanga ndio unatengeneza silicon, kutoka silicon ndio unapata transistor na hapo zinatoka Cpu, Ram, storage na mambo mengineyo.
Kutengeneza hizo transistor ndio watu wanatumia semiconductor companies kama Tsmc, sababu technology inakua ndio uhitaji nao ukakua wa rare earth ila ni 100% possible kutengeneza electronics bila rare earth materials.
Na huu ndio ukweli wajitathmini wenyeweshida ya congo iko kwa Wacongomani wenyewe.
Kwa hiyo wanaotumia hawatambui haya mpaka ? Na kuzidi kujikita hukoLfp ni ya 2022 na ni battery nzito mno possibility ni utumie kwenye hivyo vifaa vya matani.
kiongozi ni rahisi kuhongeka lakini reaction ya wanainchi itategemeana itakuwaje.Kuhonga viongozi na kuanzisha waasi ipi ni nafuu?
Its just interest za China na Africa zinaendana Atleast for now, simpambi mchina ana mabaya yake na yeye ya kutosha ila kutoa zaidi ya $10B kujenga hizo barabara hakuna mtu yoyote wa west atakaefanya hivyo, watakuletea ARV, vyandarua etc ila sio barabara na ukitaka barabara tegemea mikopo yenye Riba.baba-mwajuma inabidi raisi wa China Xi Jinping akutafute akupe maua yako.
Aloo unampamba vilivyo, hana baya tajiri , kapoaaa.
Kwahiyo mchina ana huruma na wakongo??
Mbona una uhasama gani na west aisee??, unawapiga spana balaa.
Kuna nchi ya Afrika inajali kelele za wananchi?kiongozi ni rahisi kuhongeka lakini reaction ya wanainchi itategemeana itakuwaje.
Cobalt nyepesi,Kwa hiyo wanaotumia hawatambui haya mpaka ? Na kuzidi kujikita huko
Na hiyo cobalt haina disadvantages ?
Kwani China hatoi mikopo ya riba ?Its just interest za China na Africa zinaendana Atleast for now, simpambi mchina ana mabaya yake na yeye ya kutosha ila kutoa zaidi ya $10B kujenga hizo barabara hakuna mtu yoyote wa west atakaefanya hivyo, watakuletea ARV, vyandarua etc ila sio barabara na ukitaka barabara tegemea mikopo yenye Riba.
Nimekupata mkuu, una hoja usikilizwe.Its just interest za China na Africa zinaendana Atleast for now, simpambi mchina ana mabaya yake na yeye ya kutosha ila kutoa zaidi ya $10B kujenga hizo barabara hakuna mtu yoyote wa west atakaefanya hivyo, watakuletea ARV, vyandarua etc ila sio barabara na ukitaka barabara tegemea mikopo yenye Riba.
Anatoa mingi tu, mingine ina Riba kubwa kushinda west, ila point hapa ni kwamba anaejenga Miundombinu Congo, kwa zaidi ya 10B usd sababu ana migodi ya Cobalt, na Analipa Cobalt kwa Serikali ya Congo (Sio waasi wala Rwanda), wao west wameamua kununua Haya Madini Rwanda hali ya kuwa wa nafahamu fika hayatoki Rwanda. Na wao West Kupitia Mobutu walivunja reli na kuharibu barabara ili Congo isitawalike, na kumpa matuzo kibao.Kwani China hatoi mikopo ya riba ?
Acha porojo nyingi, simu na laptop za juzi tu hapo ambazo tulikuwa tunatumia ambazo betri zake hazikuwa built in ambazo watu walikuwa wanaweza kuzibadilisha na wanaenda kuchajisha betri vibandani zilikuwa zinatumia betri za NiCd-Nickel-cadmium na NIMH na wala sio Cobalt.Cobalt nyepesi,
Chukulia mfano simu kama S24 ultra ina 5000mah
Kila 1000mah kwa lfp ni gram 90 ina. Maana 5000mah ni gram 450 nusu kilo hio just battery pekee, at same time battery ya S24 uzito wake ni gram 90 tu. Umeona hapo utofauti?
Tatizo ni utajiri wa n chi ya congoKuna nchi zilishawahi kuingia katika misukosuko ya kisiasa lakini hatimaye zilikuja kutukia. Rwanda ni mojawapo.
Kwanini imekuwa tofauti nchini Congo DRC?
1. Tatizo ni uongozi? Angepatikana huko kiongozi kama NYERERE, au KAGAME au MAGUFULI angeweza kuituliza?
2. Wasababisha machafuko ya Congo DRC wana nguvu kuliko wazuiaji?
3. Hulka ya raia wa Congo DRC inachangia?
Babu huelewi hizo vita zote wanaozipanga ndo haohao watu wa nchi za mgharibi!.....sio kweli kwamba nchi za magharibi hazitaki Wacongo wajitawale.
..nchi za magharibi hazijali mateso ya Wacongomani kwasababu supply ya madini kwenda kwao haijakatishwa kutokana na vita na mauaji yanayoendelea DRC.
..siku vita hivyo vikisababisha nchi za magharibi zikakosa madini muhimu toka DRC ndipo utakapoona wanaingilia kati na kutaka vita iishe.