Boss Electronic za zamani haitumii Rare earth material, mfano engine ya kizamani kama Induction haina rare earth material ila ya kisasa utahitaji,
Computer za zamani semiconducor hazikutumia laser ama sophisticated technology nyengine, kama hujui Computer material kubwa kabisa inayotumika ni mchanga, mchanga ndio unatengeneza silicon, kutoka silicon ndio unapata transistor na hapo zinatoka Cpu, Ram, storage na mambo mengineyo.
Kutengeneza hizo transistor ndio watu wanatumia semiconductor companies kama Tsmc, sababu technology inakua ndio uhitaji nao ukakua wa rare earth ila ni 100% possible kutengeneza electronics bila rare earth materials.