Kwanini Copa America ilifanyika mara nne ndani ya miaka sita kinyume na utaratibu?

Kwanini Copa America ilifanyika mara nne ndani ya miaka sita kinyume na utaratibu?

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Kuna hoja kuwa shirikisho la soka la Amerika ya Kusini (CONMEBOL) waliandaa michuano ya Copa America mara nne katika kipindi cha miaka sita kinyume na utaratibu ili tu mchezaji fulani aweze kushinda kombe akiwa na timu yake ya taifa.

Kwakawaida, Copa America huwa inafanyika kila baada ya miaka minne. Lakini katika hali ya kushangaza ikafanyika mwaka 2015, 2016, 2019 na mwaka 2021.

Mwaka 2021 hatimaye yule jamaa yetu akatwaa ndoo hiyo.

FIFA nao kwa kushirikiana na UEFA na CONMEBOL wakaona waandae mashindano ya kumkutanisha bingwa wa ulaya na bingwa wa amerika ya kusini (Fianlissima) ili tu jamaa yetu walu atwae kombe la pili akiwa na timu ya taifa.

Michuano hiyo mara ya mwisho ilifanyika miaka 29 iliyopita.

Ikafanyika pale Wembley, Italy bingwa wa Ulaya akakutana na Argentina bingwa wa amerika ya kusini na Argentina akatwaa ndoo.

Jamaa yetu akawa na medali ya pili akiwa na timu ya taifa.

Hoja hapa inaonekana kuna mbinu zilipangwa ili jamaa yetu atwae ndoo na asistafu mikono mitupu kabla ya kubahatika kutwaa kombe la dunia mwaka huu.
 
maxresdefault.jpg
 
Kuna hoja kuwa shirikisho la soka la Amerika ya Kusini (CONMEBOL) waliandaa michuano ya Copa America mara nne katika kipindi cha miaka sita kinyume na utaratibu ili tu mchezaji fulani aweze kushinda kombe akiwa na timu yake ya taifa.

Kwakawaida, Copa America huwa inafanyika kila baada ya miaka minne. Lakini katika hali ya kushangaza ikafanyika mwaka 2015, 2016, 2019 na mwaka 2021.

Mwaka 2021 hatimaye yule jamaa yetu akatwaa ndoo hiyo.

FIFA nao kwa kushirikiana na UEFA na CONMEBOL wakaona waandae mashindano ya kumkutanisha bingwa wa ulaya na bingwa wa amerika ya kusini (Fianlissima) ili tu jamaa yetu walu atwae kombe la pili akiwa na timu ya taifa.

Michuano hiyo mara ya mwisho ilifanyika miaka 29 iliyopita.

Ikafanyika pale Wembley, Italy bingwa wa Ulaya akakutana na Argentina bingwa wa amerika ya kusini na Argentina akatwaa ndoo.

Jamaa yetu akawa na medali ya pili akiwa na timu ya taifa.

Hoja hapa inaonekana kuna mbinu zilipangwa ili jamaa yetu atwae ndoo na asistafu mikono mitupu kabla ya kubahatika kutwaa kombe la dunia mwaka huu.
Timu Ronaldo mna kazi sana aisee. Hivi kipindi kile final ya 2014 Germany vs Argentina. Angechukua kombe ungekuja kutoa ushuzi wako hapa.? Kwa hiyo yeye ndo alikua anapanga hiyo ratiba?

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna hoja kuwa shirikisho la soka la Amerika ya Kusini (CONMEBOL) waliandaa michuano ya Copa America mara nne katika kipindi cha miaka sita kinyume na utaratibu ili tu mchezaji fulani aweze kushinda kombe akiwa na timu yake ya taifa.

Kwakawaida, Copa America huwa inafanyika kila baada ya miaka minne. Lakini katika hali ya kushangaza ikafanyika mwaka 2015, 2016, 2019 na mwaka 2021.

Mwaka 2021 hatimaye yule jamaa yetu akatwaa ndoo hiyo.

FIFA nao kwa kushirikiana na UEFA na CONMEBOL wakaona waandae mashindano ya kumkutanisha bingwa wa ulaya na bingwa wa amerika ya kusini (Fianlissima) ili tu jamaa yetu walu atwae kombe la pili akiwa na timu ya taifa.

Michuano hiyo mara ya mwisho ilifanyika miaka 29 iliyopita.

Ikafanyika pale Wembley, Italy bingwa wa Ulaya akakutana na Argentina bingwa wa amerika ya kusini na Argentina akatwaa ndoo.

Jamaa yetu akawa na medali ya pili akiwa na timu ya taifa.

Hoja hapa inaonekana kuna mbinu zilipangwa ili jamaa yetu atwae ndoo na asistafu mikono mitupu kabla ya kubahatika kutwaa kombe la dunia mwaka huu.
Hebu jaribu na wewe kama kweli ni rahisi hivyo.

Wivu tu unakusumbua na kwa sababu ya roho ya kwanini utakufa maskini.
 
Kuna hoja kuwa shirikisho la soka la Amerika ya Kusini (CONMEBOL) waliandaa michuano ya Copa America mara nne katika kipindi cha miaka sita kinyume na utaratibu ili tu mchezaji fulani aweze kushinda kombe akiwa na timu yake ya taifa.

Kwakawaida, Copa America huwa inafanyika kila baada ya miaka minne. Lakini katika hali ya kushangaza ikafanyika mwaka 2015, 2016, 2019 na mwaka 2021.

Mwaka 2021 hatimaye yule jamaa yetu akatwaa ndoo hiyo.

FIFA nao kwa kushirikiana na UEFA na CONMEBOL wakaona waandae mashindano ya kumkutanisha bingwa wa ulaya na bingwa wa amerika ya kusini (Fianlissima) ili tu jamaa yetu walu atwae kombe la pili akiwa na timu ya taifa.

Michuano hiyo mara ya mwisho ilifanyika miaka 29 iliyopita.

Ikafanyika pale Wembley, Italy bingwa wa Ulaya akakutana na Argentina bingwa wa amerika ya kusini na Argentina akatwaa ndoo.

Jamaa yetu akawa na medali ya pili akiwa na timu ya taifa.

Hoja hapa inaonekana kuna mbinu zilipangwa ili jamaa yetu atwae ndoo na asistafu mikono mitupu kabla ya kubahatika kutwaa kombe la dunia mwaka huu.
Kinachokusumbua ni uvivu wa kusoma ambalo wafrika wengi wanalo ungekuwa mfuatiliaji usingeandika huu upupu

Copa America was held in 2019 and again in 2020 to move it to even years and sync it with the European Championship. Owing to the limited number of teams in South America, CONMEBOL invites nations from other continents to compete in the tournament
 
Back
Top Bottom