Agata who is that mwafulani???Mbona hata Mimi na mwafulani ipo motomoto...
Umeusononesha moyo wangu ulioamua kukupenda kwa mapenzi yoteWalaa. Ila kwanini unanifanyia hivi vi. Come basi
Ukisema hivyo nasononeka zaidi yako ati. Labda tu nikuambie siri ambayo sijawahi kukuambia. Ukiniacha nitakonda mwenzakoUmeusononesha moyo wangu ulioamua kukupenda kwa mapenzi yote
Hapa nilipo nalia sikutegemea ungenitenda hivi DabyUkisema hivyo nasononeka zaidi yako ati. Labda tu nikuambie siri ambayo sijawahi kukuambia. Ukiniacha nitakonda mwenzako
Hapa nilipo nalia sikutegemea ungenitenda hivi Daby
Kwani ulivaa lini mami?
Huyu mtoto leo kacharuka aseehMmmh, naona haya ya Daby na Valentina ni ya kimwendokasi zaidi
Huyu haumwezi aseeh. Atakuacha raha yake kutingisha kiberiti kila akijiskia. Utaweza!Daby naomba funguo basi charlie kama hujui kuendesha[emoji4][emoji4]?
Mkuu atatulia tu sisi watoto wa West London hatunashida...labda kama kuna kamtego kama kawakenya[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Huyu haumwezi aseeh. Atakuacha raha yake kutingisha kiberiti kila akijiskia. Utaweza!