Kwanini Couple ya akina The Bold na Nifah inakubalika na kuwa na mvuto kuliko zilizokuwepo humu JF?

Ah mi nshachoka bana,nipe tu talaka yangu nikafutwe machozi kwingine
Kama ni machozi nakufuta. Kipi nisichotimiza kwako mimi mtoto wa mwanamke mwenzio.

Unataka nikupe kipi? Au unataka kiti cha kuzunguka mama, nikupe unikae moyoni uznguke ujimwae mwae?
 
Kama ni machozi nakufuta. Kipi nisichotimiza kwako mimi mtoto wa mwanamke mwenzio.

Unataka nikupe kipi? Au unataka kiti cha kuzunguka mama, nikupe unikae moyoni uznguke ujimwae mwae?
Sasa mbona unachepuka lakini?

Tena mbele yangu kabisa[emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…