Chadema wanajua hii dhana ya demokrasia uliyoitaja hapa mkuuDemokrasia inakubalika kwa miktadha ifuatayo:
chaguzi huru, uhuru wa maisha ya mtu binafsi baasi hiyo imetosha.
mkishamaliza kuchaguana na haki ikatolewa.
washindwa wawe waungwana na kuacha w
ashindi watawale maana hao ndiyo wameshinda zabuni ya kuongoza nchi.
kuendelea na siasa za majukwaani ni kuwaletea vurugu.
na hiyo siyo demokrasia, bali ni fujo.
Kuhusu utashi wa watu kuhusu namna ipi nchi iendeshwe wapo wawakilishi wao kwny vikao vya maamuzi.
representative democracy hapo imetumika.
Kwa hiyo unakubaliana kwamba Demokrasia ni moja ya kuleta matabaka na migawanyiko kwenye jamii siyo?Ingekuwa ishagawanyika vipande vipande vya nchi nyingi..
Kwani Demokrasia ni nini mkuu, kuandamana na kutukana viongozi siyo?Mijitu inayofaidi kweli ya taifa kupitia u dikteta hizi ndiyo hoja zao sasa.
Hivi mnadhani tunafurahia mno mnavyo jineemesha wenyewe?
Hiiiiii bagosha!
Kwani Demokrasia ni nini mkuu, kuandamana na kutukana viongozi siyo?
Maana ulichotaja hapo hayapo ndani ya deomkrasia, ni wizi kama wizi mwingine, maana hayo yanapaswa yawe under dicteta ili awalipue hao majambazi bila kusubiri hata mahakama
Akijibu nitag mkuu...Watu wanadhani Demokrasia ni ile ya Marekani au Uingereza tu...China wanatumia Socialist DemocracyUkisema China haina Demokrasia, jibu kwanza hili swali. Demokrasia ni nini?
Yote uliyoropoka si kweli na ni ujinga wako! Demokrasia ni ushirikishwaji wa wananchi katika maendeleo ya nchi yao! Kiongozi ukishindwa kuwashirikisha wananchi wenzako katika ujenzi wa nchi yao lazima upingwe vikali iwe kwa maneno au maandamano na hata kuuawa!Kuna tofauti gani kati ya Democrasia ya Tanzania na nchi zingine duniani?
Ni kweli Demokrasia bora ni ile inayoruhusu mandamano na mikutano ya hadhara katikati ya uongozi?
Au demokrasia nzuri na inayovutia ni ile inayowafanya watu wamseme vibaya kiongozi wa nchi?
Je siku moja ikigeukia upande wa pili, bado itakuwa demokrasia?
Serikali ya watu, itokanayo na watu(iliyochaguliwa na watu wengi) kwa ajili ya watu( inayotokeleza matakaa ya watu wengi)Ukisema China haina Demokrasia, jibu kwanza hili swali. Demokrasia ni nini?
Kwa mifano hii sio kwamba una maanisha msingi wa maendeleo ni kufanya kazi kwa bidii sio aina ya utawala nchi ilioamua kuutumia!Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.
Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?
Demokrasia ni matakataka gani sasa?, maana naona kila mmoja anapuyanga kivyake tu kuielezea demokrasia, na je? inasaidia nini ikiwa demokrasia inajumuisha utukanaji kwa viongozi na migomo ya kijinga?Kwa mifano hii sio kwamba una maanisha msingi wa maendeleo ni kufanya kazi kwa bidii sio aina ya utawala nchi ilioamua kuutumia!
Demokrasia ni sawa na kuwa kuku wa broilaBila shaka majibu yatapatikana hapa,
Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia
Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?
Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?
Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.
Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.
Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.
Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?
Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.
Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake
Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Demokrasia ni kuruhusu watoto kwenye familia kila mmoja kuchagua mboga ya kula usiku na wakati huo huo mpishi na mnunuzi ni mmoja.. Nani ataweza?Demokrasia ni matakataka gani sasa?, maana naona kila mmoja anapuyanga kivyake tu kuielezea demokrasia, na je? inasaidia nini ikiwa demokrasia inajumuisha utukanaji kwa viongozi na migomo ya kijinga?
Demokrasia ni ujanja ujanja wa USA Kuzifanya nchi zingine zisiweze kupiga hatua ya maendeleoBila shaka majibu yatapatikana hapa,
Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia
Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?
Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?
Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.
Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.
Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.
Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?
Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.
Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake
Mungu bariki Viongozi wote Jasiri