Kwanini Diamond akimuona Ally Kiba huwa anapaniki sana na kupelekea kuharibu jukwaani?

Kwanini Diamond akimuona Ally Kiba huwa anapaniki sana na kupelekea kuharibu jukwaani?

😂😂😂😂
Nacheka Kama mazuri vile.
 
Acha chuki.

Uyo Alikiba ni mtoto mdogo sana kwa mond.
Na ana vigezo vywa kulinganishwa sasaiv na Diamond .

Level za alikiba sasaivi ni wakina Ibraah na Zuchu
 
Umeandika porojo tu Diamond apaniki kwa kitu alichonacho kiba? Pesa kazidiwa Mafanikio ya mziki kazidiwa so apaniki kwa kitu kipi? au wewe ndio kiba mwenyewe umekuja kujipa promo humu
 
Nadhani yeye ndiye kashangiliwa sana sasa sijui kwanini wasema kapanik. Kuhhusu show hakuna aliyepiga show nzuri wasanii wote wamepiga show mbovu labda kutokana na mazingira na jukwaa
 
Nadhani yeye ndiye kashangiliwa sana sasa sijui kwanini wasema kapanik. Kuhhusu show hakuna aliyepiga show nzuri wasanii wote wamepiga show mbovu labda kutokana na mazingira na jukwaa
Jamaa maoni yake yamekuwa tofauti na maoni ya wadau sijui ajistukii
 
Back
Top Bottom