Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuki tu inakusumbua bwana mdogo,,hiyo roho yako hiyo ukizeeka lazima uwe mchawi..
Ndo ushangae sasa,,utawaweza team Kibamia??hahah!!yoooo!!!Sasa diamond apaniki kisa kiba? Tuachen utan basi[emoji3] mbona mnataka kumpa kiba showoff wakat yeye mwenyew hatak
Uchawi mtupu..Najua uongozi washabaini hili naamini watalifanyia kazi next time asituangushe kama leo!
Diamond is far away if not miles away best compared to mister Asiyependa show offs.... Acha kuandika porojo!!!!
Huo ndio ukweliMmh mmh
Jamaa maoni yake yamekuwa tofauti na maoni ya wadau sijui ajistukiiNadhani yeye ndiye kashangiliwa sana sasa sijui kwanini wasema kapanik. Kuhhusu show hakuna aliyepiga show nzuri wasanii wote wamepiga show mbovu labda kutokana na mazingira na jukwaa
Pole sanaDomo ujanja wake kideon tu zile wana mix mix madoido mengi. Laivu mtupu kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utakuwa umeangalia kupitia Clouds TV.
Clouds TV alipoingia mond kutumbuiza wakaweka tangazo hakuoneshwa 😁Utakuwa umeangalia kupitia Clouds TV.
Hahahaaha!!!yoooh!!.Sawa Zabibu Kiba tumekusikia.