Kwanini Diamond akimuona Ally Kiba huwa anapaniki sana na kupelekea kuharibu jukwaani?

Kwanini Diamond akimuona Ally Kiba huwa anapaniki sana na kupelekea kuharibu jukwaani?

Umesababisha nimeenda kuangalia hizo show youtube,Mtoa mada acha chuki, mbona Diamond kaperfom vzr tuu na shangwe kibao.

Bila kupepesa macho nani kafanya show nzuri kati yao?
 
Domo ana mbwembwe kweny mix na video, ila live n mweupeee kabisaaaa, hamfikiii hata nandy, ukweli lazima usemweee khaaaaaah.
 
Basi ndio hivyo Mondi alivyo ondoka na kijiji chake cha makada wa CCM,huku mwengine akipiga kelele "mikono juu......mikono juu........tunaimba wote........."
107459732_331142917882722_7597293563483089654_n.jpg

Mnapenda kumlinganisha jamaa yenu na Mondi mkizani ndio mtamweka juu.

Ila kwangu mimi Dogo Janja ndiye aliyeua............😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Basi kuna watu watakasirika na kubisha kwa nini nime mlinganisha Mondi na Dogo Janja huku nikimsahau mtu wao.
 
Basi ndio hivyo Mondi alivyo ondoka na kijiji chake cha makada wa CCM,huku mwengine akipiga kelele "mikono juu......mikono juu........tunaimba wote........."
View attachment 1504451
Mnapenda kumlinganisha jamaa yenu na Mondi mkizani ndio mtamweka juu.

Ila kwangu mimi Dogo Janja ndiye aliyeua............[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi kuna watu watakasirika na kubisha kwa nini nime mlinganisha Mondi na Dogo Janja huku nikimsahau mtu wao.

Hamuna kitu hapo
 
Wewe n king kiba kataa uskatae maana hili promo sio la kawaida kabisa na kama wewe sio kiba Ndugu yangu acha kutumia kilainishi mrudie mungu wako
 
Back
Top Bottom