Kwanini Diamond Platnumz amemtenga mwanaye aliyezaa na Hamisa Mobetto?

Zari AMEISHI bwana twende mbele turudi nyuma
Amekula maisha kiukweli kweli Ivan alijua kumspoil mweee
 
0kaliwa na Rick Rose asbh asbh jamaa kapost psketi ya kondomu
 
Mama ake naseeb naye si alikuwa malaya malaya tu? Ametudhihirishia baada ya kumbadilishia baba mwanae ukubwani, anachomfanyia yule mtoto haoni kama kuna shida maana ndo maisha ameyaishi
Ila pale alijua kujidhalilisha kaahh...halafu Wala haikukiki naona wenyewe walijua wamechemka....aseehh
Yule mama Mungu amuongoze njia sahihi kabla ya kifo chake
 
Domo kwa nafasi yake hawezi kuoa leo wala kesho,hata huyo mama akifariki,wasanii wasanii huwa wanazaa hovyo...ukiona msanii anauwezo ameoa huyo ameona atulie tu...burnaboy mama yake ndio kila kitu chake,unategemea yule ataoa au ataishia kuzalisha tu
Hawezi oa
 
Duh baba ila unajuwa umbea au wee Ni mange nin
 
Ana hela, kitu ambacho kwa celebrities wetu haswa socilites kama wema,aunt , Uwoya au Wolper hawana ndio maana anaonekana kama mfano wa kuigwa. Hivyo tu
Kwan uongo? Hata East Africa enyewe labda atashindana na Akothee, wengine wote kawaacha mbali mnoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Napenda sana Zari akiwapa vidonge watu wanao muandamaa yaan ananikuna mnoo boss lady
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mobetto katusuaa bhana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi itakua kweli wanakulana ntu na mama ake, khaaaah
 
Umemaliza kila kitu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamissa yuko mbaliii mnooo kufananishaa na vidampa wenziee.
Labda mke mwenza Lulu kuolewa na majooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama hukosei.......? Mimi nimeliona kama sio mwaka jana mwishoni basi mwaka huu mwamzoni..... nimeona frem tu na nguo chache au may be alikuwa brand Ambassador wa Vunjabei.

Inawezekana ww ukawa na maisha mazuri yenye uhakika wa kesho yako kuliko yy,always socialite wanakuonyeshea kile wanachotaka utizame,ila kile ambacho hawataki ambacho hukioni hawawezi kukuonyesha sababu kinakuwaga opposite na kile walicho kionyesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…