Kwanini Diamond Platnumz amemtenga mwanaye aliyezaa na Hamisa Mobetto?

Kumzini ,kumtumia jinsi anavojiskia yeye halafu baadae anamtukana kwenye mitandao na familia yake
Hamisa alikua mpuuzi mda wowote Daimond alikua akimtaka anamgonga muda wote ,saa yoyote
Kwani alilazimishwa kugongwa? Diamond alitaka mbususu hamisa alitaka fame Ndio Maana hamisa alivujisha picha za mondi akiwa na yeye tangu hapo ndio tukajua walikuwa wanadate huwa siwaelewi nyie wanawake mnavyotumia vibaya neno "anatumika" sema walitumiana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi itakua kweli wanakulana ntu na mama ake, khaaaah
Wanaweza wasilane ila ule wivu ty kuona km wanawake Wana faidi vile ...
Enzi za Mapenzi ya Wema Mondi bi Sandra kawafarakanisha mnoo...zile off and on ya kuingia Peny,Jokate,Wolper, Uwoya hao wote walikua wanaishi wanaachwa anarudiwa wema Maza alivoona mwanawe Yuko obsessed na wema naona akafanya yake mazima ndo akampata Zari na hawakurudiana Tena
Yaani hofu yake ni Mali tu
 
Ila shost mtoto kafanana na bill nengaa bhanaaa
Ikabidi nirudi kuchunguza bwana macho ya Naya ,Dylan ,nenga na Simba plus mwili [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]shoga wafanye tu DNA...lolote laweza tokea
Siku hizi Sina timu miyee
 
Alimpenda ukimpenda mtu unakua Teja kama yeye Simba alivompenda Wema alikua anaachwa anarudiwa wewe mpk muda wa kutoka ulipofika alitoka
 
🤝🤝
Nashangaa sn ambao eti Wana amini Hawa watu!
Tupo hapa tutafutane baada ya miaka kuanzia 5
 
Khaaaa nimeshangaa
Eti anawadharau watz ,how?
Hapana kwakweli
 
Alimpenda ukimpenda mtu unakua Teja kama yeye Simba alivompenda Wema alikua anaachwa anarudiwa wewe mpk muda wa kutoka ulipofika alitoka
Sasa mbona unaruka hoja yako yakuonesha hamisa anatumika? Sasa hivyo ulivyoeleza Ndio kutumika? Mbona uzungumzii hamisa kufuata umaarufu na pesa za mondi?
 
Point murua kabisa,
Hii comment ilipaswa kua Uzi rasmi
 
Umeandika ukweli mtupu,hasa hapo ulipoandika kuwa wadada wengi wadangaji wanaoendelea,ni kwamba labda wawe na biashara au idea ya biashara,ila hawana mitaji,hivyo akipata danga limpush kwa kumpa mtaji... nimeshuhudia hiyo kwa dada mmoja mtaani kwetu,alikua ana idea ya biashara,ila hakua na mtaji,kapata danga,ni injinia,kamuwezesha,sasa hivi dada kawa na maisha mazuri,biashara yake iko vizuri.
 
Ila huyu mdada it's too much aise, all over the world
 
Sasa mbona unaruka hoja yako yakuonesha hamisa anatumika? Sasa hivyo ulivyoeleza Ndio kutumika? Mbona uzungumzii hamisa kufuata umaarufu na pesa za mondi?
Kaka mabishano kama tuko kwenye mashindano siwezi
Simamia unachoamini namie nisimamie nnachoamini!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…