Kwani dada wa taifa ambaye we humjui alimuuliza zari mwaka Jana au huu Basi, na habari zao tunazifatilia wapi mitandaoni tu, mi nachoandika si Kama naandika tu nimeona au kusoma mitandaoni tu, hiyo miaka unayosema wewe ya hamisa ni ya Sasa hivi, gari la mwanzo la zari na Ivan Toyota Corolla ( ndizi), na zamani alikuwa anaimba japo nyimbo zake zilibuma, huko kwao, mbona zamani mmewe alikuwa anajifanya mganga sauth walivyoenda kutafuta maisha, na husemi, ndo wakapata mitaji ya kufungua hivyo vyote walivyonavyo Sasa hivi, na nyumba sauth walikuwa hawana na mumewe walipanga, alivyokuwa na mond baada kujifungua tifa mond ndio kwenda kununua nyumba South, baada ya kuachana na mond kuwa na mabwana kuwapeleka pale chambachamba ya dada wa taifa, ndio kanunua nyumba yake na alivyonunua sauth alionyesha mitandaoni huyo zar, ,alafu mi sitafuti ushindi naandika kile kilichoandikwaga mitandaoni na vile walengwa wakihoji na waandishi wa habari wanavyojibu,na sipingi mawazo yako au ya mtu yoyote, sababu naweza kutosikia au kuona habari fulani na mwingine anaweza kujua na kuweka habari hapa na nikasoma na kujua sio kila siku utaingia mitandaoni, kwa hiyo huwezi kupata habari kila siku vingine vinatupita.