Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama hana adabu kabisa mimi ni mwanamke na ninazaa ila aisee siezi kaa nikafanya jambo kama hilo, mwanzoni alikuwa akipost picha yule mzee Abdul yuko na dai kama mwanae, afu kumbe ndo tuseme mzee Abdul alifanya wema sana kutunza damu isiyokuwa yake afu hawakushauriana na mwanae yule mama akajilipua kujidhalilisha, alihisi labda atapokelewa familia mpya, bahati mbaya wale nao hawana habari na huo uchafu uchafu khaaa aibu nikaona mimiIla pale alijua kujidhalilisha kaahh...halafu Wala haikukiki naona wenyewe walijua wamechemka....aseehh
Yule mama Mungu amuongoze njia sahihi kabla ya kifo chake
Na Ile kiki haikuvuma maana watu walimdharau sana yule bibi yaani alikosa haya kabisaaMama hana adabu kabisa mimi ni mwanamke na ninazaa ila aisee siezi kaa nikafanya jambo kama hilo, mwanzoni alikuwa akipost picha yule mzee Abdul yuko na dai kama mwanae, afu kumbe ndo tuseme mzee Abdul alifanya wema sana kutunza damu isiyokuwa yake afu hawakushauriana na mwanae yule mama akajilipua kujidhalilisha, alihisi labda atapokelewa familia mpya, bahati mbaya wale nao hawana habari na huo uchafu uchafu khaaa aibu nikaona mimi