Acha uzwazwaUnaelewa msalaba ni nini?
Je, unajua kuwa asili ya msalaba siyo "Ukristo??"
Je, unajua kuwa YESU KRISTO hakubeba msalaba (+) bali alibeba nguzo (I)?
Je, unajua kuwa kanisa la KWELI la MUNGU halitumii "msalaba" maana asili ya msalaba (+) ni upagani?
Ukijua hayo hutaona ajabu kwa Diamond Platinumz kuvaa msalaba.
Kwanini kijana mdogo wa kiislam aliyezaliwa Tandale Nassib Abdul alijiita mijina ya kizungu DIAMOND PLATNUMZ?Masheikh, Masharif, Maustadh naombeni mje mtujuze, je kiutaratibu inakuaje pale muislam anapovaa msalaba? Au ni pambo tu halina ubaya?
Maana naona Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amekuwa na utaratibu wa kuvaa msalaba siku za karibuni ilhali yeye ni muislam.
View attachment 1851816
Ulimwona Yesu akibeba nguzo?Unaelewa msalaba ni nini?
Je, unajua kuwa asili ya msalaba siyo "Ukristo??"
Je, unajua kuwa YESU KRISTO hakubeba msalaba (+) bali alibeba nguzo (I)?
Je, unajua kuwa kanisa la KWELI la MUNGU halitumii "msalaba" maana asili ya msalaba (+) ni upagani?
Ukijua hayo hutaona ajabu kwa Diamond Platinumz kuvaa msalaba.
Huyo ni Sabato masalia[emoji23][emoji23][emoji23]Hizi dini hizi, sema wewe ndivo unavoamini na hiyo ndo kweli yako.
Mi naamini Yesu alibeba msalaba sio nguzo wala mti kama baadhi ya madhehebu yanavodai.
Mwisho.
Nilikwisha andika uzi kama huu miaka 3 iliyopita na mods wakautupa kwenye jukwaa la Dini na huko ukakosa wachangiaji.Mkuu kwani msalaba hauwezi kua mti?
BTW hoja zako ni za msingi na fikirishi hazipaswi kupuuzwa. Hii mada ilipaswa itengewe uzi wake ijadiliwe kwa mapana zaidi.
Hili jukwaa sio rafiki kwa mada kama hii
BWANA YESU hakubeba msalaba, alibeba "nguzo" . Soma comment yangu namba #31 nimefafanua kwa undani.Ule msalaba wa Yesu aliobeba ulikaaje ,na kwanini Kama alama ya msalaba haimaanishi hivo kwanini makaburi ya waislam na wapagani na dini zingine hayawekwi msalaba ?
Kwa hiyo ww na mkewe mnamuoga sasa...ama kwa hakika
bwana Nasibu aliwahi kunena kua yeye ni "kama maji usipo ninywa basi uta nioga"
Wao wanafata vitabu vyao, ukisema wao na vitabu vyao wamepotoka basi uwe na ushahidi wa hilo pia.So ni sahihi kwasababu vitabu vyao vimesema au wote pamoja na vitabu vyao wamepotoka?
Kikubwa usifanye mambo yatayokwaza wengine. Hizi dini bna mwisho wa siku kila mtu anamuona mwenzie ni muongo na amepotoka.Huyo ni Sabato masalia[emoji23][emoji23][emoji23]
Bwana Nassib Abdul ana jina kikristo, anaitwa Gwajima, au nasema uongo ndugu zangu?Masheikh, Masharif, Maustadh naombeni mje mtujuze, je kiutaratibu inakuaje pale muislam anapovaa msalaba? Au ni pambo tu halina ubaya?
Maana naona Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amekuwa na utaratibu wa kuvaa msalaba siku za karibuni ilhali yeye ni muislam.
View attachment 1851816
Unaelewa msalaba ni nini?
Je, unajua kuwa asili ya msalaba siyo "Ukristo??"
Je, unajua kuwa YESU KRISTO hakubeba msalaba (+) bali alibeba nguzo (I)?
Je, unajua kuwa kanisa la KWELI la MUNGU halitumii "msalaba" maana asili ya msalaba (+) ni upagani?
Ukijua hayo hutaona ajabu kwa Diamond Platinumz kuvaa msalaba.
tuliza g3nye kijanaKwa hiyo ww na mkewe mnamuoga sasa...
Je kama ni "Jumlisha"? Kipi kimefanya useme ni msalaba?