Huyu jamaa ana ajennda zake qnataka kuzilazimisha kwa fantasy.Le Mutuz nani kakwambia hajaacha watoto huko? Alikimbia kaacha familia mwenzio.
Hii ya same sex mimi ndio nimeishangaaDude you are so daft.
How does intelligence of one, relate to the poverty if another?
Secondly, Does Diaspora to you mean only US?
Thirdly, And are you trying to implicate our men of homosexuality?
Yaani wanatoka Bongo kwenda kutafuta mabasha?
Umetukosea sanaaa.
Yani utafikiri diaspora yote ni wazungu tu.Really?
Wazungu sio tunasikia wana cost sharing kati ya me na ke?Kwanza lemutuz kilichomkimbiza ni Child support..!
Mimi bora nibanane na mwajuma wangu tumbokubwa nikimpa chipsi vumbi na kijora cha buku 7 ananipa yotee
Tena kasema ana uhakika kuwa Lemutuz atakuwa hana watoto!Una assume sana.
Unasemq Le Mutuz hana watoto bula hata kuukiza kwanza.
Hao wasio na watoto unataka kuwazalia?
Sawa mkuu kubebika ni swala moja Ila kupiga mimba ni issue nyingineYani utafikiri diaspora yote ni wazungu tu.
Wakati watu tunmebebika na Miss Spelman.
Wanasema alikimbia child support
Kwamba ngozi hazipatikani kirahisi?Mkuu unaelewa kabisa kuwa gemu za ugenini uwa ni tafu.
Kipindi hicho akiwa dereva wa malori?Hapana, alikimbia miluzi mingi ya mtalaka wake ikawa kero kwake akamuachia kila kitu, alishawahi andika kwenye story zake, simply ali move on bro wetu, pia mke wake ni wale kichefu chefu maana alikua ana collude na wabaya wa bro Lemutuz alafu anamchafua jamaa wa watu!
Kwani hawakutani na Diaspora wenzao huko?Ubaguzi wa rangi pengine ndio sababu
Kuzama ulingoni wanazama ishu inakuja kwenye ku-score magoli yenye tija.Kwamba ngozi hazipatikani kirahisi?
Kipindi hicho akiwa dereva wa malori?
Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Huyo jamaa wa Urusi ni ndugu kabisa na mzee yaani mimi namwita baba mdogo.
Hajazaa mtoto hadi leo hii
Mimi kuna mtu alishasema Kiranga ni mtoto wa Mkapa.Tena kasema ana uhakika kuwa Lemutuz atakuwa hana watoto!
JF bana….yaani unaweza kukuta kuna watu ‘wanamjua’ mtu kuliko hata ajijuavyo mwenyewe.
Kwa hiyo unataka diaspora wakupige mimba wewe?Sawa mkuu kubebika ni swala moja Ila kupiga mimba ni issue nyingine
Halafu ametupia ka English Ili atuvuruge kabisa yaani.Hii ya same sex mimi ndio nimeishangaa
Jidanganye tuSi kweli, ubaguzi wa rangi wategemea na mtu na mtu.
Wazungu wengi bado wanawapenda sana waafrika.
Kuna kale kamsemo kao "go black never go back".
Una assume sana.
Unasema Le Mutuz hana watoto bila hata kuuliza kwanza.
Hao wasio na watoto unataka kuwazalia?