Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Katika maandiko ya dini zote tatu za Uisalamu, Ukristo na Uyahudi suala la wanawake kujifunika vichwa vyao linazungumziwa japo kwa msisitizo tofauti.
Katika Ukristo mazingatio yake ni madogo sana mfano kwa masista wa Kikatoliki na kwa makanisa machache mfano kwa Kakobe, katika Uyahudi siku hizi msisitizo umebaki kwa wanawake kufunika kichwa katika ibada tu, kwa upande wa Uislamu hilo bado ni jambo muhimu sana na tena kwenye nchi nyingine ni shurti kabisa.
Kwa nini mungu katika hizi dini na maandiko yake aliweka hayo maelekezo na sababu za msingi hasa ni zipi?
Katika Ukristo mazingatio yake ni madogo sana mfano kwa masista wa Kikatoliki na kwa makanisa machache mfano kwa Kakobe, katika Uyahudi siku hizi msisitizo umebaki kwa wanawake kufunika kichwa katika ibada tu, kwa upande wa Uislamu hilo bado ni jambo muhimu sana na tena kwenye nchi nyingine ni shurti kabisa.
Kwa nini mungu katika hizi dini na maandiko yake aliweka hayo maelekezo na sababu za msingi hasa ni zipi?