Kwanini dini zinazataka wanawake kuvaa vitambaa kufunika vichwa vyao?

Kwanini dini zinazataka wanawake kuvaa vitambaa kufunika vichwa vyao?

Kwa madai yako hata hayo macho hayapaswi kuonekana, ingetakiwa kuwekwa nyavu hapo machoni.
s-l400.jpg
 
Mwanamke akiwa hayupo katika stara anaweza sababisha wanaume kujawa na tamaa na kujikuta wanatenda dhambi kwa ushawishi wa maumbile ya mwanamke.

Hivyo Katazo au agizo la kusitiri miili yao lina kusudi la kupunguza uwezekano wa kutamanisha au kushawishi wanaume
 
Mwanamke akiwa hayupo katika stara anaweza sababisha wanaume kujawa na tamaa na kujikuta wanatenda dhambi kwa ushawishi wa maumbile ya mwanamke.

Hivyo Katazo au agizo la kusitiri miili yao lina kusudi la kupunguza uwezekano wa kutamanisha au kushawishi wanaume
Wewe unaweza kumtamani mwanamke kwa kumtazama kichwa chake(sio uso)?
 
Katika maandiko ya dini zote tatu za Uisalamu, Ukristo na Uyahudi suala la wanawake kujifunika vichwa vyao linazungumziwa japo kwa msisitizo tofauti. Katika Ukristo mazingatio yake ni madogo sana mfano kwa masista wa Kikatoliki na kwa makanisa machache mfano kwa Kakobe, katika Uyahudi siku hizi msisitizo umebaki kwa wanawake kufunika kichwa katika ibada tu, kwa upande wa Uislamu hilo bado ni jambo muhimu sana na tena kwenye nchi nyingine ni shurti kabisa.

Kwa nini mungu katika hizi dini na maandiko yake aliweka hayo maelekezo na sababu za msingi hasa ni zipi?
Utaratibu wa watu wa mashariki ya kati kwa sababu ya upepo mkali wa jangwa wenye mchanga hivyo ili kusitiri nywele zao waliamu kufanya hivo.

Dini ni utapeli.
 
Ac
Sio dini ni Mila na tamaduni za ki babarism za za kiyahudi na kiarabu ambazo kimsingi ni Mila za eneo Moja ambazo dini Tatu za kiyahudi, kiislamu na Kikristu zilichipukia.Mila hizo kwa kuwa ziliibuka katika kipindi Cha babarism ambapo mwanamke alionekana sio binaadamu sawa na mwanaume Bali ni Mnyama kazi anayeongea (Instrumentum vocale)

Basi mabwana walioleta Imani hizo walikuwa na hayo mamila Yao ambayo kimsingi yanagandamiza Sana haki za wanawake hata kwenye nyumba za ibada hawatakiwi wawe viongozi wasimame mbele ya wanaume.
Acha kupotosha watu ndugu.
 
Kufunika sasa hivi tofauti na zamani sasa hivi unanakuta sista katoliki au mwanamke muislamu kajifunika kiislamu bikra hamna awe sista katoliki au mwanamke binti kigoli wa kiislamu mvaa mavazi ya kiislamu hana bikra
Vijana wa kiume waoaji beware
Msije oa vazi kuna wanawake wanajificha kwenye hijabu malaya kuliko wavaa vi mini

Mchana wanavaa hijabu usiku wanavaa vimini kujiuza hiyo.issue nimekutana nayo zanzibar mchana wanawake swala tano usiku malaya kuliko malaya wa Tanganyika wanaoujiza hata mchana kweupe uwanja wa fisi nk

Customer beware usiangalie tu vazi anavaa mchana na kujifanya swala tano au sista kanisani kimavazi

Huu ushauri usipozingatia sio kesi ila kuna siku utanikumbuka kuwa kuna mtu jamii forums aliongea

Humu ndani tunasaidiana ushauri mzuri bila kujali dini ya mtu .kwenye issue serious kama za kuoa
 
Katika maandiko ya dini zote tatu za Uisalamu, Ukristo na Uyahudi suala la wanawake kujifunika vichwa vyao linazungumziwa japo kwa msisitizo tofauti.

Katika Ukristo mazingatio yake ni madogo sana mfano kwa masista wa Kikatoliki na kwa makanisa machache mfano kwa Kakobe, katika Uyahudi siku hizi msisitizo umebaki kwa wanawake kufunika kichwa katika ibada tu, kwa upande wa Uislamu hilo bado ni jambo muhimu sana na tena kwenye nchi nyingine ni shurti kabisa.

Kwa nini mungu katika hizi dini na maandiko yake aliweka hayo maelekezo na sababu za msingi hasa ni zipi?
Hizo dini zinatoka Mashariki ya kati kwenye jua kali. Huko ni muhimu kufunika kichwa ili kupunguza athari za mionzi ya jua kichwani. Hakuna uhusiano wa kuvaa hivyo vilemba/kofia na dini zaidi ya mazingira
 
Kinaongelewa kichwa "Mwanaume/mume" kama kiongozi au Cheo. Kinapaswa kufunikwa kiwe siri katika mambo yake yote hasa wakati hakipo sahihi
Vipi mbona mwanaume kaambiwe asifunike??
Wakati kichwa chake ni Kristo..

Mkuu Hebu ngoja Kidogo Tupitie Fungu lote..ili usiwapotoshe watu..

Hebu soma Tena na ukumbuke Pia Ukisoma 1wakorintho 11:16 inasemaje..
Screenshot_20240719_214045_Biblia Takatifu.jpg


Usisahau kuwa mwanaume kakatazwa kufunikwa kichwa..
Akifunika bhasi anaaibisha Kichwa chake..

Soma Fungu lote kuanzia 3 mpaka 16 usisome nusu nusu ili kudanganya watu
 
Hapo imeandikwa kichwa cha mwanamke ni Mwanaume.

Basi "Kichwa ambaye ni mwanaume anapaswa kufunikwa kitambaa".

Tumia akili
Mkuu Unapotosha Watu...
UKimaliza kuwapotosha waambie na Maumbile ya mwanamke na mwanaume Biblia ilikuwa imemaanisha nni
 
Hayo sio mambo ya waafrka kwan wanawake wa kiafrka tamaduni ni kuvaa kauchupi flan hv hafu pia kuziba maziwa ova
 
Sio dini ni Mila na tamaduni za ki babarism za za kiyahudi na kiarabu ambazo kimsingi ni Mila za eneo Moja ambazo dini Tatu za kiyahudi, kiislamu na Kikristu zilichipukia.Mila hizo kwa kuwa ziliibuka katika kipindi Cha babarism ambapo mwanamke alionekana sio binaadamu sawa na mwanaume Bali ni Mnyama kazi anayeongea (Instrumentum vocale)

Basi mabwana walioleta Imani hizo walikuwa na hayo mamila Yao ambayo kimsingi yanagandamiza Sana haki za wanawake hata kwenye nyumba za ibada hawatakiwi wawe viongozi wasimame mbele ya wanaume.
Vijana mukishiba munaongea upuuzi ili muonekane kama mumesoma sana ila hebu nikuambie kitu Muogope sana Mungu uhai usikupe kibri
 
Sio dini ni Mila na tamaduni za ki babarism za za kiyahudi na kiarabu ambazo kimsingi ni Mila za eneo Moja ambazo dini Tatu za kiyahudi, kiislamu na Kikristu zilichipukia.Mila hizo kwa kuwa ziliibuka katika kipindi Cha babarism ambapo mwanamke alionekana sio binaadamu sawa na mwanaume Bali ni Mnyama kazi anayeongea (Instrumentum vocale)

Basi mabwana walioleta Imani hizo walikuwa na hayo mamila Yao ambayo kimsingi yanagandamiza Sana haki za wanawake hata kwenye nyumba za ibada hawatakiwi wawe viongozi wasimame mbele ya wanaume.
Your very stupid
 
Ko wewe
Soma Moja wapo ya sifa za babarism kama zilivyoelezewa na philosopher Fredrick Engels . Moja wapo ya sifa ni kumgandamiza mwanamke, na kumuweka kwenye kundi la wanyama kazi. Kitendo Cha kufunika nywele ni kumkinga eti asionwe na kutamaniwa na meanamme mwingine
kwa akili yako unaamini hayo maneno ya philosopher???
Na kama ni ndio basi wewe ni mjinga wa kiwango cha international standard!
 
Back
Top Bottom