Inawezekana Jua lilikua kali sanaNgoja watumishi(wenye uchambuzi mpana unaoeleweka kwa maneno machache)waje watuhabarishe/ndiyo kutuhubiria kwa ushahidi...
Naam.Nayo inaswihi hasa.Inawezekana Jua lilikua kali sana
Sio dini ni Mila na tamaduni za ki babarism za za kiyahudi na kiarabu ambazo kimsingi ni Mila za eneo Moja ambazo dini Tatu za kiyahudi, kiislamu na Kikristu zilichipukia.Mila hizo kwa kuwa ziliibuka katika kipindi Cha babarism ambapo mwanamke alionekana sio binaadamu sawa na mwanaume Bali ni Mnyama kazi anayeongea (Instrumentum vocale)Katika maandiko ya dini zote tatu za Uisalamu, Ukristo na Uyahudi suala la wanawake kujifunika vichwa vyao linazungumziwa japo kwa msisitizo tofauti. Katika Ukristo ...
Mwanamke kajaa uchi mwili mzima yaaani uchi mtupu!!
Hii inahusianaje na kufunika kichwa kwa kitambaa??Kichwa cha mwanamke ni mume wake.
1 Wakorintho 11
3. Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.
Hakiongelewi kichwa hiki cha physically
Mkuu kwa barbarians kama Vikings wanawake hawakuwa wanafunika vichwa, dini ndio zilileta hili jambo.Sio dini ni Mila na tamaduni za ki babarism za za kiyahudi na kiarabu ambazo kimsingi ni Mila za eneo Moja ambazo dini Tatu za kiyahudi, kiislamu na Kikristu zilichipukia.Mila hizo kwa kuwa ziliibuka katika kipindi Cha babarism ambapo mwanamke alionekana sio binaadamu sawa na mwanaume Bali ni Mnyama kazi anayeongea (Instrumentum vocale ).
Ni nadra kuona mwanaume ameposti au amegeuza shingo kwa mwanamke kwa sababu ya uzuri wa kichwa tu, ila mara nyingi sana na asilimia kubwa ya wanaume hupata kiwewe na sehemu nyingine za mwili wa mwanamke hata kama kichwa chake sio kizuri kabisa.Kabisa Kichwa chake urembo tosha ,ukija kifuani napo konzi ,ukicha wezere na neema za allah mtihano napo.
Inatakiwa wajisitiri.
Kila kiungo cha mwanamke huleta matamanio kwa mwanaume.Hii napinga, ni nadra sana mwanaume kumtamani mwanamke kwa kutazama kichwa chake.
Kama ni hivyo kwa nini msisitizo ni kufunika kichwa tu na sio mwili wote kabisa asionekane kabisa?Kila kiungo cha mwanamke huleta matamanio kwa mwanaume.
Matamanio baina ya mwanaume kwa mwanaume hutofautiana.
Kuna wanaume ambao huvutiwa na uzuri wa nywele, miguu, mikono, makalio, ngozi, macho, lips, meno, sera, maziwa, shingo n.k kila kiungo ukionacho kwa mwanamke kinaweza leta matanio kwa mwanaume fulani hata kama kwako hakileti muamsho wa kihisia.
Soma Moja wapo ya sifa za babarism kama zilivyoelezewa na philosopher Fredrick Engels . Moja wapo ya sifa ni kumgandamiza mwanamke, na kumuweka kwenye kundi la wanyama kazi. Kitendo Cha kufunika nywele ni kumkinga eti asionwe na kutamaniwa na meanamme mwingineMkuu kwa barbarians kama Vikings wanawake hawakuwa wanafunika vichwa, dini ndio zilileta hili jambo.
Unataka kama hivi ?Kama ni hivyo kwa nini msisitizo ni kufunika kichwa tu na sio mwili wote kabisa asionekane kabisa?