Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kipuuzi kabisaMembers nauliza hii imekaaje watoto wa baba mmoja ila wamekuwa na imani tofauti japo wote no christian?
Huenda tunapewa ujumbe kwa tafakari.Siyo kila unachokiwaza lazima ukianzishie uzi, mengine unakausha tu mkuu.
Huyu jamaa ni mjinga sanaSwali la kipuuzi kabisa
nani kakuambia mpango ni mkatoliki? acha wenge.Nauliza hii imekaaje watoto wa baba mmoja ila wamekuwa na imani tofauti japo wote Wakristu?
View attachment 2089454
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
Wewe kichwani ni mzima? Maswala ya imani ni mambo binafsi.Nauliza hii imekaaje watoto wa baba mmoja ila wamekuwa na imani tofauti japo wote Wakristu?
View attachment 2089454
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
Familia yangu wote ni wakatoliki kuna padri, sista nk lakini mimi ni Mlutheri. Maisha ni kuchaguaNauliza hii imekaaje watoto wa baba mmoja ila wamekuwa na imani tofauti japo wote Wakristu?
View attachment 2089454
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
Amefariki jana mkuuHivi Askofu Gerald Mpango aliishafariki?😳