NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
mind you own businness pambana na hali yako haikuhusu mbona mimi mdogo wangu ni msabato mimi muislam na maamuzi ya watu tumia akila yako kutafuta maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh....na bado huoni shida hapoMimi Baba mlutheri, Mama Mmoreviani Mimi ni mFull gospel na mdogo wangu anayenifuata ni msabato. Shida iko wapi?
Ahahahaa! Familia yangu unakuta hadi kuna mchanganyiko wa wakristu na waislamu. Achilia mbali madhehebu tofauti.Mimi Baba mlutheri, Mama Mmoreviani Mimi ni mFull gospel na mdogo wangu anayenifuata ni msabato. Shida iko wapi?
We si ulifuata dini ya mkeo,pambana.mind you own businness pambana na hali yako haikuhusu mbona mimi mdogo wangu ni msabato mimi muislam na maamuzi ya watu tumia akila yako kutafuta maisha
Mkuu, wanene wameamua kuufuta UkristU na kuweka mbadala wa UkristO. Baniani mbaya ila kiatu chake KIZURI.Nauliza hii imekaaje watoto wa baba mmoja ila wamekuwa na imani tofauti japo wote Wakristu?
View attachment 2089454
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
Jamaaa kachemka sanaWewe kichwani ni mzima? Maswala ya imani ni mambo binafsi.
Huyo Phillip Mpango hata leo akiamuwa kuwa mwislamu ni maamuzi yake.
Msijaze upumbavu wenu humu JF.
Ni mkatoliki pure tena mseminarinani kakuambia mpango ni mkatoliki? acha wenge.
| School Name/Location | Course/Degree/Award | From | To | Level |
|---|---|---|---|---|
| University of Dar es Salaam | Ph.D Economics | 1993 | 1996 | PhD |
| Lund University | Ph.D Coursework | 1990 | 1992 | PhD |
| University of Dar-es-Salaam | M.A Economics | 1986 | 1988 | Masters Degree |
| University of Dar-es-Salaam | B.A (Hons) | 1981 | 1984 | Bachelor |
| Ihungo Secondary School | ACSEE | 1976 | 1977 | Secondary School |
| Itaga Seminary | CSEE | 1974 | 1975 | Secondary School |
| Ujiji Seminary | - | 1971 | 1973 | Secondary School |
| Muyama Primary School | CPEE | 1968 | 1970 | Primary School |
| Kasumo Primary School | - | 1965 | 1967 | Primary School |
| Kipalapala Primary School | - | 1964 | 1965 | Primary School |
mbona waislamu wengi tuu wanasoma seminari? kusoma seminari sio sababu ya kuwa mkatoliki.Ni mkatoliki pure tena mseminari
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level University of Dar es Salaam Ph.D Economics 1993 1996 PhD Lund University Ph.D Coursework 1990 1992 PhD University of Dar-es-Salaam M.A Economics 1986 1988 Masters Degree University of Dar-es-Salaam B.A (Hons) 1981 1984 Bachelor Ihungo Secondary School ACSEE 1976 1977 Secondary School Itaga Seminary CSEE 1974 1975 Secondary School Ujiji Seminary - 1971 1973 Secondary School Muyama Primary School CPEE 1968 1970 Primary School Kasumo Primary School - 1965 1967 Primary School Kipalapala Primary School - 1964 1965 Primary School
Acha ubishi ujiji seminary (st joseph) na itaga seminary lengo lake ni kuandaa vijana kuwa mapadre hakuna.. mtu asie mkatoliki hawezi kamwe kudahiliwa kwenye hizo shule .mbona waislamu wengi tuu wanasoma seminari? kusoma seminari sio sababu ya kuwa mkatoliki.
Nauliza hii imekaaje watoto wa baba mmoja ila wamekuwa na imani tofauti japo wote Wakristu?
View attachment 2089454
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
Baba mlutheran,mama muislamu,mimi mlutheran na mdogo wangu mkatoliki na maisha yako poa kabisa.Mimi Baba mlutheri, Mama Mmoreviani Mimi ni mFull gospel na mdogo wangu anayenifuata ni msabato. Shida iko wapi?
So what?!Nauliza hii imekaaje watoto wa baba mmoja ila wamekuwa na imani tofauti japo wote Wakristu?
View attachment 2089454
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Kaka yake, Marehemu Askofu Gerald Mpango
Tangu mwaka huu uanzeSwali la kipuuzi kabisa
Swali liko palepale, hata hao kina baba si walikuwa mtu na kaka wa baba mmoja?Nijuavyo mimi hawa sio watoto wa baba mmoja. Mmoja amezaliwa kwa mkubwa mwingine kwa mdogo kwa hyo inawezekana baba zao walikuwa madhehebu tofauti