Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
2020 hakukuwa na uchaguzi, 2025 kutakuwa na uchaguzi.Kwani saivi wamechukua nusu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2020 hakukuwa na uchaguzi, 2025 kutakuwa na uchaguzi.Kwani saivi wamechukua nusu?!
Wanamlinganisha Mh Tulia na kilaza suguWapinzani wanatatizo za ku overestimated uwezo wao na ku underestimate uwezo wa CCM.
2020 wabunge wote waliteuliwa na Mwendakuzimu, zile drama zilizofanyika haukuwa uchaguzi.Kwani 2020 aligombea nani
Hatakiwi hata kuonekana hukoArudi Tukuyu tu, ni kwao na atashinda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni Mkazi wa Mbeya ? usiandike kitu kama hujui , kama mnataka kumdhalilisha dada wa watu endeleeni kufanya masihara
Mbeya hakuna vijana wajingajinga.Sugu hawezi kwa Tulia. In short CCM wanakwenda kuchukua mkoa mzima wa Mbeya.
Aloo huyo mtu mmempa majina mengi sana. Sasa yanamuelemea2020 wabunge wote waliteuliwa na Mwendakuzimu, zile drama zilizofanyika haukuwa uchaguzi.
Naloli nkamu kwangu, mkwesa mikambo gwa CHADEMA akalonde imbombo ijingi. Ikikota kya ubunge kimmogole kana gwetu.Mbeya hakuna vijana wajingajinga.
CCM Strategy + TISS Strategy = Tulia and Mbeya Mjini Victory. Kama hujaielewa hii Hesabu basi huwezi kuwa Competent Mathematician Ndugu.Tuwe tu wakweli Kwenye Uchaguzi Huru na wa Haki kumshinda Sugu Moto Chini kunahitaji timing
Nionavyo Dr Tulia atashinda kirahisi zaidi Rungwe
Pale Upanga CCC enzi za Bishop Prof Mwenisongole wakati wa kuwapeleka Watumishi Kwenye Missions nzito kule Ruangwa Lindi, Congo na Rwanda tulikuwa tunawasindikiza na Wimbo wa Tenzi za Rohoni uitwao Bwana Uliyewaita!
Jumaa kareem
AiseeCCM Strategy + TISS Strategy = Tulia and Mbeya Mjini Victory. Kama hujaielewa hii Hesabu basi huwezi kuwa Competent Mathematician Ndugu.
Ichukue hiyo Ndugu.Aisee
USSR
Nasikia eti sugu analudi ujinga kwaoArudi Tukuyu tu, ni kwao na atashinda
Nipo mbeya mjini tulia anashinda mapema Sana anapeleka Maendeleo Kwa kasi Sana na serikali Sasa hivi wamekuwa karibu na wananchi kuliko kipindi kingine Sugu asitegemee mselelekoJiji pekee ambalo CCM ina uwezo wa kushinda kwa urahisi ni Dodoma tu.
CCM majimbo yake ya ushindi wa halali ni majimbo ya vijijini. Majiji na manispaa, watapata machache sana.
Sugu hawezi kuchukua lile Jimbo Mzee Mimi nipo mbeya na Ndiyo home hapa kabweWewe ni Mkazi wa Mbeya ? usiandike kitu kama hujui , kama mnataka kumdhalilisha dada wa watu endeleeni kufanya masihara
Mkuu kumbe una historia mpaka kwenye missions za umisheni kwa Mwenisongole?Tuwe tu wakweli Kwenye Uchaguzi Huru na wa Haki kumshinda Sugu Moto Chini kunahitaji timing
Nionavyo Dkt. Tulia atashinda kirahisi zaidi Rungwe
Pale Upanga CCC enzi za Bishop Prof Mwenisongole wakati wa kuwapeleka Watumishi Kwenye Missions nzito kule Ruangwa Lindi, Congo na Rwanda tulikuwa tunawasindikiza na Wimbo wa Tenzi za Rohoni uitwao Bwana Uliyewaita!
Jumaa kareem
Sugu hatarajii kupitishwa na Rais SSH kwenye kura za maoni. Ajipendekeze huko ili iweje?!Bwashee Tulia amepelekwa pale kimkakati ili sugu abaki mtaani avute shisha tu anajipendekeza kwa rais ili tulia aende huko unakosema ila mambo ya chama ni magumu sana zaidi ya serikali
USSR
Mkuu, umenigusa sana huu wimbo huwa una hisia kali sana wakati unaibwa, unakuandaa kupokea majukumu makubwa ya kiroho yaliyo mbele yako. Ila kwa huyu maza kwa kweli ni ushauri mzuri - unless mama na yeye aamue kumsaidia kwa kuvunja kanuni.Pale Upanga CCC enzi za Bishop Prof Mwenisongole wakati wa kuwapeleka Watumishi Kwenye Missions nzito kule Ruangwa Lindi, Congo na Rwanda tulikuwa tunawasindikiza na Wimbo wa Tenzi za Rohoni uitwao Bwana Uliyewaita!