Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Huu mziki umepigwa muda mrefu lakini wenyewe wameamua kukaa kimya labda kutusahaulisha? Tuendelee kuimba au labda kuna Plan C?
Mwanakijiji you have raised a very important point. mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi hayatakuwa na mafanikio kama system iliyopo sasa haitaweza kuamshwa na kupewa sababu ya kuanza kuuma kwa kutumia meno iliyonayo. Na kama tunataka kulisaidia Taifa, imefika mahali sasa, watu wanaokalia ofisi za umma wakakumbushwa kuwa tunajua wanatakiwa kufanya nini. Hatutaweza kufanya hivyo kama sisi hatujasoma na kuelimika na kuamua kuwa wazalendo.
Tatizo letu sie Watanzania hatusomi documents, ila ni wazuri sana wa kubabaisha na kujifanya tunajua vitu wakati hatusomi. Nenda kwa wafanyakazi wa Serikali wakienda kwenye vikao, mara zote huenda hata document hawana, eti anataka kusikiliza ndio achangie! wezetu wanasoma na kuchambua hizo documents ili waweze kujenga hoja. Na ndio maana siku zote watu wetu wamekuwa wakiuziwa Mbuzi kwenye ngunia badala ya Tenga ili amuone huyo mbuzi kama anafaa au laa.Ndio maana tumeweka hizo sheria umechukua muda kuzisoma? Feleshi akitaka anaweza kuchagua Independent Prosecutor or Investigator kama Ken Starr
Unachosema ni sawa lakini siamini kuwa DPP haelewi haya unayoyasema. Kinachowasumbua wenzetu tuliowapa mamlaka ya kusimamia haki ni kuwa wamelewa mvinyo wa madaraka ambao mning'inio (hangover) wake ni mgumu sana kuuondoa. Hawana tofauti na Ghadafi ambaye mpaka sasa anaamini kuwa atashinda vita pamoja na kuwa dalili zote zinaonyesha kuwa ameshindwa tayari na kinachosubiriwa ni kumkamata tu na kumpeleka mahakamani.
Mkurugenzi wa Mashtaka amepewa dokezo kuwa kuna uhalifu umefanyika na ni uhalifu ambao unagusa taasisi mbalimbali nyeti na hata watu ambao tunaweza kusema ni watu maarufu. Tuhuma ambazo zimetolewa jana si ngeni lakini kilichodokezwa zaidi ni madai kwamba kilichofanyika hakikuwa wizi wa ulaghai tu bali ulikuwa ni uhalifu dhidi ya uchumi na taasisi zetu. Hivyo ameombwa kuchunguza na kuleta mashtaka.
Nimeambatanisha hapa sheria mbili (kwenye sheria ya NPS angalia ibara hasa ya 16) na nyingine mtu anaweza kujisomea kuwa hakuna mtu mwenye uwezo na madaraka ya kuleta uchunguzi wa kihalifu (criminal investigation) kama Feleshi. Aangalie ushahidi uliopo na aliambie Taifa kuwa hakukuwa na uhalifu wowote uliofanyika na kama hakuna uhalifu wale wote wanaohusishwa na Kagoda warudishiwe 'fedha zao'. ..
Kwa ufupi.. Feleshi alitakiwa kufanya haya yote yeye mwenyewe na binafsi naamini anatakiwa kumteua Public Prosecutor chini ya article 22 ya NPSA. Sheria ya Anti-Money Laundering nayo imeambatanishwa kuwasaidia watu kupima madai yaliyotolewa..
Ndugu zangu, kama Feleshi angekuwa anatumia madaraka yake ipasavyo kusingekuwa na haja za kina Hosea na Kamati Teule. Binafsi ninaamini mmoja watu ambao kutokana na madaraka yake amekuwa ni sehemu iliyohalalisha kukua na kukomaa kwa ufisadi nchini. Nimewahi kuandika hili kwa kirefu huko nyuma na katika Kagoda tunalirudia tu kwani angekuwa ni mtu anayetumia madaraka yake vizuri na ipasavyo hata tume ya EPA isingeundwa wala Luhanjo asingemchunguza Jairo!
Wakati umefika wa kuanza kutaka huyu jamaa aliyeapa kufanya kazi hii aaifanye kama hawezi ni bora ajiuzulu ili mtu mwingine mwenye nia na uwezo wa kusimamia sheria zetu kufanya kazi hiyo.
Kama yeye mwenyewe anaona hawezi kuchunguza jambo hili au anaona kwamba hawezi kuwa impartial ana uwezo wa kumchagua independent prosecutor kufanya uchunguzi - kuanzia na hizi nyaraka zilizowekwa jana - na hatimaye kuleta mashtaka yapasayo.
Mkuu Arafat sawasawa umenena vyema...... hivi Feleshi akulupuke afanye tu kazi bila maelekezo ya mwajili wake ataendelea kweli kuwa kazini..? Nafkili ameamua kufanya tu yale mwajili wake anapenda afanye ili nayeye watoto wake wapate ugali...! Nina uhakika kabisa yote aliyoyaandika MwkJJ Feleshi anayafahamu sana tu tena kwa mapana zaidi kwa maana si rocket science..!Mwanakijiji you are not serious this time!
State organs ni watch dogs kwani wewe hujui hilo!
Yes ni mbwa tena wenye meno makali na yenye sumu kali sana akiuuma hakika huwezi kupona huo ndio ukweli. lakini toka lini mbwa akauma bila kuamrishwa? Mbwa wa namna hiyo hana adabu maana anaweza kumg'ata hata mwenye mbwa! Sana sana wamiliki wa mbwa wakali ikiwa wanahisi mbwa wanaweza kung'ata hadi watoto pale nyumbani na kubughdhi wageni wake wapendwa uishia kumfungia mbwa wake kibandani.
For sure kama tupo mean, tumuulize mwenye mbwa siyo kumhoji mbwa mwenyewe, ukweli ubaki kuwa ukweli, mbwa anaye mtii owner ndio mbwa bora na aliye pata mafunzo vyema.
Mkuu Arafat sawasawa umenena vyema...... hivi Feleshi akulupuke afanye tu kazi bila maelekezo ya mwajili wake ataendelea kweli kuwa kazini..? Nafkili ameamua kufanya tu yale mwajili wake anapenda afanye ili nayeye watoto wake wapate ugali...! Nina uhakika kabisa yote aliyoyaandika MwkJJ Feleshi anayafahamu sana tu tena kwa mapana zaidi kwa maana si rocket science..!
Ndio maana tumeweka hizo sheria umechukua muda kuzisoma? Feleshi akitaka anaweza kuchagua Independent Prosecutor or Investigator kama Ken Starr
Mkurugenzi wa Mashtaka amepewa dokezo kuwa kuna uhalifu umefanyika na ni uhalifu ambao unagusa taasisi mbalimbali nyeti na hata watu ambao tunaweza kusema ni watu maarufu. Tuhuma ambazo zimetolewa jana si ngeni lakini kilichodokezwa zaidi ni madai kwamba kilichofanyika hakikuwa wizi wa ulaghai tu bali ulikuwa ni uhalifu dhidi ya uchumi na taasisi zetu. Hivyo ameombwa kuchunguza na kuleta mashtaka.
Nimeambatanisha hapa sheria mbili (kwenye sheria ya NPS angalia ibara hasa ya 16) na nyingine mtu anaweza kujisomea kuwa hakuna mtu mwenye uwezo na madaraka ya kuleta uchunguzi wa kihalifu (criminal investigation) kama Feleshi. Aangalie ushahidi uliopo na aliambie Taifa kuwa hakukuwa na uhalifu wowote uliofanyika na kama hakuna uhalifu wale wote wanaohusishwa na Kagoda warudishiwe 'fedha zao'. ..
Kwa ufupi.. Feleshi alitakiwa kufanya haya yote yeye mwenyewe na binafsi naamini anatakiwa kumteua Public Prosecutor chini ya article 22 ya NPSA. Sheria ya Anti-Money Laundering nayo imeambatanishwa kuwasaidia watu kupima madai yaliyotolewa..
Ndugu zangu, kama Feleshi angekuwa anatumia madaraka yake ipasavyo kusingekuwa na haja za kina Hosea na Kamati Teule. Binafsi ninaamini mmoja watu ambao kutokana na madaraka yake amekuwa ni sehemu iliyohalalisha kukua na kukomaa kwa ufisadi nchini. Nimewahi kuandika hili kwa kirefu huko nyuma na katika Kagoda tunalirudia tu kwani angekuwa ni mtu anayetumia madaraka yake vizuri na ipasavyo hata tume ya EPA isingeundwa wala Luhanjo asingemchunguza Jairo!
Wakati umefika wa kuanza kutaka huyu jamaa aliyeapa kufanya kazi hii aaifanye kama hawezi ni bora ajiuzulu ili mtu mwingine mwenye nia na uwezo wa kusimamia sheria zetu kufanya kazi hiyo.
Kama yeye mwenyewe anaona hawezi kuchunguza jambo hili au anaona kwamba hawezi kuwa impartial ana uwezo wa kumchagua independent prosecutor kufanya uchunguzi - kuanzia na hizi nyaraka zilizowekwa jana - na hatimaye kuleta mashtaka yapasayo.
Mkuu,
Natofautiana na wewe kidogo kwenye red. Huwezi kumfananisha Ghadafi na viongozi wetu wa Tanzania. Kwa mtazamo wangu Ghadafi ni mtu mwenye kupenda maendeleo ya nchi yake na Afrika kwa ujumla tofauti na hawa viongozi wetu wa Tanzania ambao kazi yao ni kujineemesha wao na familia zao bila kujali wananchi na nchi kwa ujumla. Jaribu kusoma hii article hapo chini ujihabarishe zaidi.
Citifmonline - Why the West wants the fall of Gaddafi
Kwa taarifa ni Ghadafi ndie aliyesaidia kwa kiwango kikubwa sana Afrika kuwa na urahisi wa technologia. Isingekuwa yeye africa kwenye maswala ya Technologia mambo yangekuwa magumu sana.
Mkurugenzi wa Mashtaka amepewa dokezo kuwa kuna uhalifu umefanyika na ni uhalifu ambao unagusa taasisi mbalimbali nyeti na hata watu ambao tunaweza kusema ni watu maarufu. Tuhuma ambazo zimetolewa jana si ngeni lakini kilichodokezwa zaidi ni madai kwamba kilichofanyika hakikuwa wizi wa ulaghai tu bali ulikuwa ni uhalifu dhidi ya uchumi na taasisi zetu. Hivyo ameombwa kuchunguza na kuleta mashtaka.
Nimeambatanisha hapa sheria mbili (kwenye sheria ya NPS angalia ibara hasa ya 16) na nyingine mtu anaweza kujisomea kuwa hakuna mtu mwenye uwezo na madaraka ya kuleta uchunguzi wa kihalifu (criminal investigation) kama Feleshi. Aangalie ushahidi uliopo na aliambie Taifa kuwa hakukuwa na uhalifu wowote uliofanyika na kama hakuna uhalifu wale wote wanaohusishwa na Kagoda warudishiwe 'fedha zao'. ..
Kwa ufupi.. Feleshi alitakiwa kufanya haya yote yeye mwenyewe na binafsi naamini anatakiwa kumteua Public Prosecutor chini ya article 22 ya NPSA. Sheria ya Anti-Money Laundering nayo imeambatanishwa kuwasaidia watu kupima madai yaliyotolewa..
Ndugu zangu, kama Feleshi angekuwa anatumia madaraka yake ipasavyo kusingekuwa na haja za kina Hosea na Kamati Teule. Binafsi ninaamini mmoja watu ambao kutokana na madaraka yake amekuwa ni sehemu iliyohalalisha kukua na kukomaa kwa ufisadi nchini. Nimewahi kuandika hili kwa kirefu huko nyuma na katika Kagoda tunalirudia tu kwani angekuwa ni mtu anayetumia madaraka yake vizuri na ipasavyo hata tume ya EPA isingeundwa wala Luhanjo asingemchunguza Jairo!
Wakati umefika wa kuanza kutaka huyu jamaa aliyeapa kufanya kazi hii aaifanye kama hawezi ni bora ajiuzulu ili mtu mwingine mwenye nia na uwezo wa kusimamia sheria zetu kufanya kazi hiyo.
Kama yeye mwenyewe anaona hawezi kuchunguza jambo hili au anaona kwamba hawezi kuwa impartial ana uwezo wa kumchagua independent prosecutor kufanya uchunguzi - kuanzia na hizi nyaraka zilizowekwa jana - na hatimaye kuleta mashtaka yapasayo.
Crucifix, DPP ni mungu mtu, akikataa ndio amekataa, hapaswi kutoa sababu kwanini hataki wala hakuna mamlaka ya kumuuliza sababu. Mamlaka hayo amepewa na katiba yetu!Kwa nini ni lazima Feleshi? Hakuna uwezekano mwingine wa kuwafungulia mashtaka hawa watu? Ina maana kama Feleshi akikataa ndio kusema mtu hawezi kabisa kushtakiwa. Mimi sio mwanasheria naomba ufafanuzi.