Kwanini DPP Feleshi anatakiwa kuleta mashtaka dhidi ya RA na YM na wengin juu ya Kagoda


Haapo umenena sawasawa..Taabu siyo kutokuwepo sheria na taratibu; taabu ni ni hawa watendaji wetu....WAMELEWA MADARAKA KIASI WANASAHAU AU MAKUSUDI KABISA majukumu yao na taratibu husika zinazotakiwa kufuatwa KISHERIA...
 

That to me sounds like the DPP has unbridled prosecutorial discretion!
 
That to me sounds like the DPP has unbridled prosecutorial discretion!
Tulipopata uhuru, tulikopi sheria zetu zote para material (neno kwa neno) toka zile za India ambao nao walizikopi toka Wesntminster. Wenzetu wote wameishazibadili sheria zao. DPP wa UK au wa India akiamua haendeshi mashitaka fulani kama kuna ushahidi, ni lazima atoe maelezo ya sababu tena lazima ziwe zinahusu public interest au mambo ya sensetive security risks. Sisi sheria zetu bado zimempa DPP wetu mamlaka hayo ambayo hata serikali haina.

Mfano serikali ikikataa kutimiza wajibu wake katika jambo lolote, unaweza kuishitaki na mahakama ikatoa amri ya 'mandamus' au 'certiorary' kuilazimisha serikali ifanye kitu fulani, au kuitoa zuio kwa serikali, isifanye jambo lolote lakini kwa DPP yuko above the law, yeye hahojiwi na mamlaka yoyote na halazimiki kutoa sababu zozote kwa yoyote kuhusu maamuzi yake. Kwa mfano powers zake za Nolle anamamlaka ya kuingilia kesi yoyote, ikiwa katika hatua zozote kabla ya hukumu na kuifuta, bila kutoa sababu zozote popote!
 

tena bwn msemakweli kisheria na taratibu inatakiwa apewe ulinzi na dola sbb ana ushahidi wa kesi muhimu sana kwa taifa letu. maana isije ikawa mijamaa inaandaa watu na madumu kadhaa ya tindikali ili wamdhuru.
 

Ahsante sana Pasco,

Ingawa sehemu nyingine unatumia kizungu cha sheria lakini walau ABC nazipata...


Kwa lugha ya mitaani hapa ningesema kuwa "tulie tu"...Ndilo tunaloweza kulifanya...

Hivi wanahakati hawajui hilo...na kama wanalijua mbona wako kimya??? Labda hapo pangekuwa mahali pa kuanzia ili kuongeza msukumo wa mchakato wa kuandika katiba mpya!!

Naomba kama inawezekana, uweke thread mpya tujadili suala la DDP na umuhimu wake kama patron wa ufisadi nchini!!
 

Pasco huyu kigogo nimemsahau ebu nikumbushe, kama vipi hata kwa PM
 

Pasco husidhani hayo unayoyasema yanafanyika kwa kimakosa hapa kwetu, huo ndio mpango na ndio nia ya serikali; kwanza nikuweke sawa tu, kwamba DPP ni State organ hivyo ama akikubali au kukataa kuendesha keshi ujue kuwa ndiyo hivyo Serikali ndio imekaa. Watawala wetu hawawezi kuweka maamu ya DPP mezani ili Umma uamue na kushiriki uhalali wa maamuzi yake kwasababu bado Dola na Ikulu inahitaji kuwa Mungu katika ardhi ya Tanzania kwa Watanzania, sasa ukiwapunguzia nguvu za Umungu mtu unadhalilisha na kunyima uwezo wa kutufanya yoyote wanalotaka muda wowote.

Ukweli ni kuwa hizo nguvu unazosema DPP anazo kwa lugha rahisi ambayo siyo ya kisheria ni mamlaka aliyo nayo Rais kuzuia na kuingilia mienendo ya kesi yoyote mahakamani ili kuipa ushawishi ambao Ikulu inataka kuipa kesi husika, Wameweka hizo nguvu kwa DPP kama kiini macho lakini hazipo ni nguvu za Rais siyo DPP kama mamlaka, kwasababu DPP wetu ni sehemu ya serikali kuu. Mfano mwingine ni Kesi ya Marehemu Ditto nguvu iliyotumika kubadili kuwa mauwaji bila kukusudia ilikuwa ni kubwa sana na dhahiri ilionyesha ambavyo mamlaka ya DPP yapo kwa ajili ya watawala wetu na familia zao.
 
DPP office has executed its duties diligently - AG

26th August 2011

The government has strongly defended the portfolio of the Directorate of Public Prosecutions (DPP)'s office, saying it has performed its duties diligently. Attorney General (AG) Judge Frederick Werema defended the portfolio of the DPP's office yesterday against allegations by Shadow Minister for Justice and Constitutional Affairs Tundu Lissu (Chadema) when he was presenting views of the opposition camp in Dodoma Wednesday.
According to Lissu, the DPP's failure to take legal actions against some individuals, including government officials, involved in the misappropriation of public funds proved there was no need to retain the office.

In his argument Lissu gave an example of a case of individuals involved in stealing money from the Bank of Tanzania ( BoT)'s External Payment Arrears (EPA) account, saying despite the outweighing evidence, some suspects had escaped the arm of the law. "The government has until today failed to take legal action against Kagoda Agricultural Limited, a company accused of pocketing over 40bn/- from the account on grounds of lack of evidence," he explained.

Without mentioning the names of the culprits, Lissu also said the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB)'s and DPP's failure to institute legal actions against individuals involved in the controversial purchase of the military radar from BAE Systems, Dowans, Meremeta, TanGold and the privatisation of Kiwira Coal Mine raised doubts on constitutional powers bestowed upon the two organs. Lissu, in his speech, proposed for the establishment of a special court to look into the best way of removing the DPP from his office because of his unsatisfactory performance. He said such a court should be established by the president after being advised by the AG since the DDP had immunities and privileges bestowed upon him by the country's Constitution.

Defending the DPP's office yesterday morning, Judge Werema said before filing any case in the court, the DPP had to gather satisfactory evidence so ensure the suspects' rights were not violated. According to Werema, out of the 30 files sent to the DPP of the cases involving high profile individuals, the DPP had given the green light to 13 cases after he went through the evidence and found it substantial and relevant. However, the AG could neither mention the cases nor the individuals involved.

The Guadian
 
ushahidi ulikuwa wazi tangia mapema na ndio maana Bw. Maranda na mwenzake wako jela sasa. Lakini IGP Mwema kama aliwahi kutwambia kuwa "Ukiwakamata wahusika wa EPA nchi italipuka". Ukiangalia kwa undani Mh. Kikwete, Mwema na Feleshi ni zaidi ya "Rais, IGP na DPP" nikiwa na maana kwamba kuna kitu na mahusiano baina yao yaliyo zaidi ya hizo nafasi za umma. Aidha wananchi wachukue hatua kuvunja haya mahusiano yaliyo nje ya kazi au tuombe Mungu sana wabadilishe malengo ya mahusiano yao ili yawe ya kuijenga Tanzania!
tena bwn msemakweli kisheria na taratibu inatakiwa apewe ulinzi na dola sbb ana ushahidi wa kesi muhimu sana kwa taifa letu. maana isije ikawa mijamaa inaandaa watu na madumu kadhaa ya tindikali ili wamdhuru.
 
Felesi....umeliona darasa hilo? umefumba macho na kuziba masikio? Umeona wenzako waliokuwa wamefumba macho na kuziba masikio huko Libya? Nakushauri kitu kimoja, kama kweli unafanya kazi yako kwa kufinywa na wakulu ni bora uachie ngazi mapema, usijidanganye kuwa moto huu ulioanzishwa utazimwa. Shauri yako, kuna watu hapa wameshaomba kujua wasifu wako na familia yako, wapi unaishi, familia yako iko wapi na wanafanya nini. Shauri yako!
 
Sasa nafurahi kuona tumeamua kuwaamsha watendaji wetu. Ushauri kwa Fereshi aanze na waliotoa fedha kwa RM na YM, - awaulize hao RM na YM watawasema tu. Na akitoka hapo sasa afanye kazi yake kwa kufuata sheria halali za nchi na wananchi watakuwa pamoja nae. Sina hakika kama DPP akiteuliwa ni rahisi kumuondoa kabla ya umri wake kufika nijuze anayejua hili.
 
Ndiyo maana kwenye baadhi ya nchi nafasi kama hizi huwa ni kugombea na kuchaguliwa moja kwa moja na wananchi. Hii inamfanya mhusika awe accountable moja kwa moja kwa wananchi na wakimchoka wanapata fursa ya kutokumchagua tena.

I like the American system of electing states' attorneys general and district attorneys.
 
NN, unadhani hata ni tatizo kwenye kuchagua tatizo liko katika sheria inayotumika kuwafanya wafanye kazi. Wenzetu sheria zao zina trigger clauses ambazo kama x inatokea basi AG anatakifanye a, b c. Sisi sheria zetu (kama hii ya DPP) zimeweka vitu juu juu sana. Kinachoniudhi mimi ni kuwa wabunge ndio watunga sheria lakini wanakuwa wa kwanza kulalamika. Wabunge wakitaka wanaweza kubadilisha sheria na DPP hana cha kufanya kuzuia hilo.

Tatizo ni kuwa wabunge wenyewe badala ya kuleta miswada ya mabadiliko ya sheria ili kuziaupdate sheria hizo ndio wanakuwa wa kwanza kusimama Bungeni kulalamikia "ubaya wa sheria" na "kutaka serikali ilete mswada" wa mabadiliko wakati wao wenyewe wanaruhusiwa na kanuni za Bunge kuleta mswada wa mabadiliko ya sheria.

Hivi umewahi kusikia sheria yoyote au mswada wowote wa sheria Tanzania ambao umewahi kuletwa na mtu binafsi ukapitishwa kuwa sheria?
 
Sina hakika kama hili limejibiwa. Nijuavyo mimi, mtu binafsi anaweza kuwafungulia mashitaka hawa jamaa na kesi ikaendeshwa. Jambo la msingi ni kwamba plaintif anapaswa kupewa support ya kutosha, na lazima kujua kuwa mamlaka zetu hasa mahakama zitapaswa kufanyakazi bila woga. Hapa kuna kisa mkasa kimoja How To Tax A Billionaire | Books | Arbeiter Ring Publishing natamani tungesoma na kujihabarisha namna ambavyo group of concerned citizens wanaweza kuwapeleka maharamia wa uchumi mahakamani
 
Mkuu Pasco amenikatisha tamaa kabisaaa! sasa nakubaliana rasmi na falsafa ya cdm ya Peopleees poweeeer!
 
Mimi sijaona jambo lolote la maana toka huyu DPP achaguliwe amelifanya zaidi ya ku-enter Nole prose cue kwa Wahalifu na kuwaacha wenye haki wakiendelea kuteswa na kesi za kubambikizwa

Hivi anachaguliwa au anateuliwa? na huwa anakikomo kweli? au mpaka afe/kustaff?
 
i. By December, 2005 all the money in the various CRDB Branches had been converted into United States Dollars and transferred into the Dollar account which Kagoda Agriculture Company Limited had opened with the assistance of Yusuf Manji and Rakesh Mehta at CRDB Holland House.



j. In late December, 2005 and early 2006 all the money in the Kagoda Agriculture Company Limited account at Holland House Branch totaling a sum of US$ 28,960,000 was transferred to the 1st Respondent’s account at the same Branch through 4 banker’s cheques as follows:



i. A banker’s cheque for $ 7,600,000 dated 27th December 2005;

ii. A banker’s cheque for $ 7,400,000 dated 29th December 2005;

iii. A banker’s cheque for $ 7,060,000 dated 2nd January 2006; and

iv. A banker’s cheque for $ 6,900,000 dated 2nd January 2006.





k. Over a period of several months arrangements were made by Rakesh Mehta on the instructions of Yusuf Manji for the US$ 28,960,000 to be smuggled out of Tanzania to Dubai. A copy of the Bank Statement of the showing that the money was being transferred in lots of US$1,000,000 or lesser sums such that by the 31st March 2006 there was still a balance of US$ 9,084,762.64
 

DFID wanachambua tofauti wao wanasema inawezekana political will ipo ila capacity ya DPP na PCCB ndio tatizo

NI kesi gani amabo wamechunguza na nini kinaendelea.? From wikileaks cable point of view


So mpaka 2011 status Ikoje ya hizo sita ?
BOT- liyumba yuko gerezani teh teh teh teh

Kifupi ofisi ya DPP na PCCB zina lack of capacity na kwa lugha kali tunaweza kusema they are incompetent. Kama sio basi nao ni part of the problem yaani they are corrupt

Habari kamili kuhusu cable hiyo soma Zimefichuka » Blog Archive » GRAND CORRUPTION CASES' SLOW
 
Mimi sijaona jambo lolote la maana toka huyu DPP achaguliwe amelifanya zaidi ya ku-enter Nole prose cue kwa Wahalifu na kuwaacha wenye haki wakiendelea kuteswa na kesi za kubambikizwa

Mh! mie napita tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…