Kwanini dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea Gaza?

Kwanini dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea Gaza?

Habari wadau..!
Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?

Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .

Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?

Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
Kwani Gaza ni dunia? Mbona haijihusishi na ya DRC wala CAR? Waswahili kwa kujidhalilisha na kushabikia ya wenzao ima kwa misingi ya dini au kujikomba sina hamu. Ni wapalestina hawa hawa waliwahi kutuuzia ndege mbovu ukiachia mbali kuwakamata baadhi wakipigana upande wa Amin wakati wa vita ya Kagera. Waarabu, wahindi na wazungu si watu wa kupotezea muda. Wabauzi na Munafiquun kabir.
 
Ukifuata dini ya warabu lazima uwe kichwa maji tu. Mwarabu hajawaji kuwa na akili hata siku moja na huu ujinga amewaambukiza mpaka kwa ndugu zake wanaoabudu dini moja.
Mwarabu ni mtu wa fujo siku zote ndiyo maana m
Kwenye nyumba zao za ibada wanafundisha karate. Hiyo karate wanafundisha kwa kazi gani?
Wanaoabudu dini ya kiarabu bana, wanapenda vita sana. Sehemu ambapo kuna waabudu dini ya kiarabu wengi lazima pawepo na machafuko wakiulizwa wanasingizia mabeberu. Inakuwaje kafiri awambie wauane na wakakubali?
Darfur Ni mkakati wa WESTERN POWERS na siyo waarabu .WAZUNGU WANAAKILI SANA ZA FITINA WALITUMIA FOMULA YA DIVIDE AND RULE.YAANI WAGAWE NA UWATAWALE. KISHA WAMEFANIKIWA KUIGAWA SUDANI NA KUMWONDOA BASHIR
 
mkuu ukipata muda pitia hapa, kifupi hakuna alieachwa, si mwarabu, si mchina, si wayahudi wenzao, si Wa africa, wote waziwazi jamaa wanawatukana na kuonyesha ubaguzi wa wazi wazi.


Hawa ni wanyama, hawana utu na ni adui wa binadamu.

Yeyote atakayeongea ukweli wa haya mambo awe mwanasiasa, msanii, mwanamichezo au mfanyabiashara wa nchi za wamagharibi basi kazi yake ndiyo imekwisha!

Hata waandishi wa habari waliyojaribu kutoa ukweli huu walifukuzwa kazi mara moja. Waliwafukuzisha kazi mpaka ma-profesa wa kiyahudi waliyojaribu kuuweka huu ukweli wazi kwenye vyuo. Na haya yote ili waendelee na uongo wao kwa walimwengu.

Haya ndiyo mambo yanayopaswa kujadiliwa! Wafia dini huwezi kuwaona katika hili! Halafu wanajifanya mafundisho yao ni ya amani. Amani gani ya kutetea jamii ya makatili hivyo? Hawana utofauti na jamii ya Waislamu ufalme wa Sudia utakaposemwa mabaya wanayofanya watakuja juu na kuutetea kwa hali ya namna yoyote.

Israel inawaongopea watu si kwamba wapo smart bali watu ni wajinga.
 
Mind your own business, mambo ya gaza na islael yako too complicated.
 
Back
Top Bottom