Kwanini dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea Gaza?

Kwanini dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea Gaza?

Yah hao Hammas ni wapalestina na waungwa mkono na serikal ya palestina na nchi zote za kiarabu ili kum-defeat mu Israel
Huyo Muajemi Iran anawadanganya Sana hao Wapalestina na hiyo Hamas yao ili afanye biashara ya silaha.Na malengo binafsi mengine.

Iran wanatishiaga nyau kuiangamiza Israel lkn hawathubutu bali wanatumia mgongo wa Palestina/Hamasi kupigana na Wayahudi.
 
In short nchi za Kiarabu vita wamefanya kama sehem ya maisha yao. Bila shaka pia nahis vita ni sehemu ya imani yao. Haiwezkan nchi za kiarabu miaka yote zenywe ziwe na vita tu.
Kale kakitabu ka kishirikina (Kuran) ndicho kinawafundisha wao ni dini bora na wengine ni makafiri.Wanadanganywa sana.Acha wabondwe kisawa sawa Hadi akili ziwakae sawa.
 
inafikirisha yaani hadi Allah anawahofia wayahud had kawawekea aya. si kawaumba mwenyewe.. kwa nini atuonye kuhusu myahud..

yaan sawasawa Allah atuonye kuhusu Msukuma
au mkenya.. inamaana wayahud wote by default wanazaliwa na roho mbaya na makatili..

and there is nothing Allah can do about it?

mh inafikirisha sana kitabu kitakatifu kuwa single out jamii fulan kwa kuwataja kuwa jiepushen nao.. maana navyojua tabia za binadam zinafanana kama kuna mzinz na jamabz afrika atakuwepo pia mwarabu,myahud, mzungu hadi msomali ..

anyway ndo tuliyoyakuta tulivyozaliwa acha maisha yaendelee
Adui mkubwa wa Allah sio shetani ila Myahudi [emoji56][emoji56]
 
Jamaa (hamas)wanahifadhi silaha kambini,hospitalini na hata misikitini. Sasa Israel wanachofanya kama roketi zimefyatuliwa toka shule au hospital au popote wao wanapiga hapo. Shida ndo inaanzia hapo
hio link niliyoweka ni kambi ya wakimbizi chini ya UNHCR nayo ni magaidi?

kuna video nyengine jengo la AL jazeera na association press yamepigwa mabomu, hawa nao ni magaidi?

unahitaji kipaji cha level za mirembe kuamini wanapigana na Hamas
 
hio link niliyoweka ni kambi ya wakimbizi chini ya UNHCR nayo ni magaidi?

kuna video nyengine jengo la AL jazeera na association press yamepigwa mabomu, hawa nao ni magaidi?

unahitaji kipaji cha level za mirembe kuamini wanapigana na Hamas
Wabondwe tu hamna namna
 
akili fupi ndio inaiona Israel Kwenye vita vya Gaza.....
wenye akili ya kawaida wanajua waliokaa kimya ndo wamemtuma Netapussy kuvuruga hao waarabu.....
 
Parestina wanaonewa Sana af anakuja mmasai mmoja anawasifia Israel kuwa ni taifa teule... parestina hawapgan na Israel Bali wanaandamana, wanaopgana na Israel ni gammas na sio parestinaView attachment 1786087hilo enoleo lote kilikuwa la parestina mwaka 1919 now wamekuwa wakimbizi , Hawa wapuuzi Bora wangeletwa Uganda tu Kama ilivokuwa imepangwa
Hamas siyo Wapalestina??

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja wapukutike kwanza wanajifanyaga wahuni kuvaa tubomu kuuwa wengine. Wamekutana na wababe wacha tuwaangalie sasa

Miaka na miaka wameshindwa kuwapukutisha wakiwa na silaha kubwa na msaada wa amerika wataweza sasa!
 
Habari wadau..!
Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?

Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .

Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?

Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
Suluhu ni hiyari ya wagombanao siyo dunia kuwaamuru wapatane. Jumuia ya kimataifa imejitahidi sana kutoa matamko na kuandaa mikutano ya usuluhishi camp david nk nk matokeo yake waziri mkuu wa Israel aliyetaka suluhu na waarabu sijui Yitzak Rabin aliuwawa. Haya ya waarabu na wayahudi tuwaachie wenyewe huko Somalia na EThiopia Jimbo la Tigray waafrika wenzetu wanauwawa tu tumekaa kimya
 
Suluhu ni hiyari ya wagombanao siyo dunia kuwaamuru wapatane. Jumuia ya kimataifa imejitahidi sana kutoa matamko na kuandaa mikutano ya usuluhishi camp david nk nk matokeo yake waziri mkuu wa Israel aliyetaka suluhu na waarabu sijui Yitzak Rabin aliuwawa. Haya ya waarabu na wayahudi tuwaachie wenyewe huko Somalia na EThiopia Jimbo la Tigray waafrika wenzetu wanauwawa tu tumekaa kimya

Basi, Anzisha na wewe thread yako kwa ajili waethipia wako. .
 
Habari wadau..!
Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?

Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .

Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?

Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
Kuna taasisi na watu wanapata pesa nyingi kutokana na huo mgogoro na ukiisha watakula wapi? suluhisho ni kufuata ramani ya nchi ya israel na wengine wataishi kama wahamiaji, Ni kama USA wenye hati miliki ya Nchi ni wahindi wekundu ila wahamiaji wanaruhusiwa kuishi na kuongoza taifa.
 
eneo la msikiti hata hakuna fujo sana mostly ni watalii, na hata kukiwa na fujo ni mabomu ya machozi hutumika.

huko Gaza ndio wanakouliwa, kifupi mkuu ma zionist wanaamini dunia nzima ni mifugo, si wapalestina tu, watu weusi, wachina, waarabu na wengineo kwao ni second citizen, wao peke yao ndio wanastahili kutawala dunia.
Na hiki ndicho wengi wasichokijua na ndiyo sababu hutoweza kuona vitabu vya dini vya kiyahudi vikiuzwa kwa wazi kama Qur'an na Biblia.
 
mkuu kabla ya hapo jews kibao waliokimbia ulaya walikuwa wanaishi palestina, wapalestina hawana tabu na ma jews, ila hawa mazionist si watu wa dini, na kama wana dini basi ni ya shetani.

wapo jews wa kawaida wengi israel ila hawana nguvu na decision za kufanya tofauti na hawa zionist.
hebu angalia hivi wanavyofanya niambie kwako unaona ni dini? nitajaribu kuweka source za kimagharibi zaidi

1. israel sasa hivi ndio paradise ya pedopholia, yaani watu wanaofanya mapenzi na watoto ambao hawaja baleghe, wanashtakiwa nchi nyengine wao wanawapokea na kuwakinga

2.wana blackmail viongozi na watu makubwa duniani kingono, wana makampuni ya kusafirisha watoto na wanawake kufanya kazi za umalaya, viongozi wao wanabaka etc

3. rabbi mkuu, kiongozi wa dini wa israel anawarefer watu weusi wa marekani kama nyani wazi wazi tena

4.wanawake wa ki africa ama wachina wanahasiwa wasizae ama kuingia mikataba wasishiriki tendo la ndoa wakiwa kule,

5.israel wanataka kuja africa ili tu wa Africa wasiende israel msemo ambao ulimaanisha hawataki watu weusi waende kwao

6. baadhi ya watu wanaowaua wanaiba viungo vya mwili

7. walikuwa wanalipua sinagogi za nchi za kiarabu ili jews wakimbie waende israel, wapo tayari kuuwa wenzao sababu ya politics

8.bilionea wao ndie anaehusika na congo, kuiba madini, alifukuzwa USA

9.Rabbi Ovadia aliwahi sema hivi
“There was a tsunami (Hurricane Katrina) and there are terrible natural disasters, because there isn’t enough Torah study…Black people reside there [New Orleans]. Blacks will study the Torah? [God said] let’s bring a tsunami and drown them...“Hundreds of thousands remained homeless. Tens of thousands have been killed. All of this because they have no God.”

10. mlipuko wa juzi juzi hapa beirut uliotokea bandarini na kuua mamia ya watu kiongozi wao wa kisiasa alipost fb kusherehekea

kuna maelfu ya crime wanafanya hawa jamaa na kama unaamini ni vita ya kidini unahitaji kuwajua zaidi.
Au kingine wajiulize Urusi ya Kisovieti viongozi wengi walikuwa ni Wayahudi lakini hawakuiva hata kidogo na Wayahudi wa West mpaka kuingia kwenye mgogoro mkubwa wa vita baridi. Kuna nini?

Mapinduzi ya Bolshevik nchini Urusi na uongozi wao uliwaua kwa wingi Wayahudi wenzao na ndiyo waliyofujisha siri ya mpango wa West kuigawa kimkakati Palestina dhidi ya Wayahudi wa west. Watu wajiulize ni kwa nini ipo hivi?

Kuna nini nyuma ya pazia?

Vita baina ya Misri na Israel 1973 ambayo Israel ilishindwa vibaya kwa nini Misri ilivyositisha mashmbulizi dhidi ya Israel yenye Wayahudi, Wayahudi wa Kisovieti waliwahoji wa Misri kwa nini mmesitisha badala ya kuendelea kuwashambulia?

Watu inawabidi watafakari! Kwa ujumla hawa Wazayuni ni maadui wa Ubinadamu na Utu wa binadamu.
 
jews walikwenda palestina hata kabla ya kuundwa israel na uingereza kufika, ushahidi upo wa kutosha.
hii video ya mwaka 1896 ikionesha jews na wapalestina wengine


wazayuni ndio waliokwenda hio 1940s kwa kupelekwa na waingereza video inayooneshwa wakishushwa

Huwezi ukawaona hapa ukitoa ushahidi kama huu kwa komenti mfano kama wa kwako au kwa Uzi zilizojitosheleza zenye mfano kama wa kwako. Huwa wanaziacha tu kwa sababu wanajua hawana ukweli bali wamebaki na hisia.

Kuna documentary moja ilionyesha wazi mpaka kiongozi wa Kiyahudi wa kipindi hicho (nimsahau jina) aliuandikia UN barua ya kuomba zuio kuwazuia hao waliyohamia Palestina 1948. Lakini wengi wa humu JF hawajui, na haitoshi kuwa hawajui Bali wamekaza shingo!

Kwa kila ambalo wanalolifanya hawa Wayahudi Wazayuni utaona wanatoa sababu za wao kujilinda ni kutotokea kwao kama yalivyowatokea kipindi cha Hitler. Ukiliangalia suala lao lilikuwa ni la kiutu kiubinadamu.

Lakini kilekile walichofanyiwa na Hitler ndicho wanachokifanya Israel dhidi ya Palestina. Hili kwa watu ambao wanaoungalia utu ndipo wanapohoji! Wanasema wanajilinda ni sawa!

Suala si kusema atakayeilaani Israel naye atalaaniwa, suala utu wa Israel hapa uko wapi?

Lakini mbona mnayafanya yale ambayo aliyoyafanya Hitler dhidi yenu kwa wenzenu Palestina kwa kigezo cha kujilinda kwa kutofanyiwa kama ya Hitler hali ya kuwa mnayafanya kama ya Hitler?
 
Na hiki ndicho wengi wasichokijua na ndiyo sababu hutoweza kuona vitabu vya dini vya kiyahudi vikiuzwa kwa wazi kama Qur'an na Biblia.
mkuu ukipata muda pitia hapa, kifupi hakuna alieachwa, si mwarabu, si mchina, si wayahudi wenzao, si Wa africa, wote waziwazi jamaa wanawatukana na kuonyesha ubaguzi wa wazi wazi.

 
Back
Top Bottom