hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Dunia imekuwa ikitawaliwa na viongozi wengi walio makatili na wanyama sana mfano.ukiachana na Hitler(1889-1945) kuna
1. Joseph Stalin(1878-1953)
2. Pol Pot (1925-1998)
3. Saddam Hussein (1937-2006)
4. Iddi Amin (1952-2003)
Nachohitaji kufahamu zaidi kutoka kwenu ni kwanini Hitler anatajwa zaidi kama kiongozi katili mno mbali na kutenda mambo mazuri yafuatayo:-
[emoji117]Alizuia Uvutaji wa sigara katika nchi ya ujerumani. Hitler alikuwa muathirika wa Uvutaji sigara hadi pale alipopona 1919 na kuzuia kabisa hata watu wengine.
[emoji117]Alianzisha mashindano ya Olympic kama tamaduni iliyosahauliwa nchini ujerumani.
[emoji117]Alikuwa kiongozi wa kwanza kujali watoto. Alipenda watoto wote wasome, wafundishwe ukakamavu wawe na afya njema hadi leo nchini Ujerumani kuna malipo ya 200 Euro kwa kila mtoto.
[emoji117]Alitoa ajira. Baada ya Hitler kuingia madarakani alikomesha tatizo la ajira kupitia uzalishaji, Ulinzi, kilimo. Nk.
[emoji117]Alidumisha umoja baina ya nchi za ulaya eg. Marekani na Urusi.
[emoji117]Alilinda wanyama. kufuatia kifo cha mpwa waake kwa kujinyonga, Hitler aliacha kula nyama na kuzuia nchi nzima ulaji wa nyama na kuwalinda wanyama.
Sasa kwanini dunia inamchukulia Hitler kama gaidi mno zaidi hata ya Napoleon?
karibu kwa mchango.
View attachment 1829408
View attachment 1829407
1. Joseph Stalin(1878-1953)
2. Pol Pot (1925-1998)
3. Saddam Hussein (1937-2006)
4. Iddi Amin (1952-2003)
Nachohitaji kufahamu zaidi kutoka kwenu ni kwanini Hitler anatajwa zaidi kama kiongozi katili mno mbali na kutenda mambo mazuri yafuatayo:-
[emoji117]Alizuia Uvutaji wa sigara katika nchi ya ujerumani. Hitler alikuwa muathirika wa Uvutaji sigara hadi pale alipopona 1919 na kuzuia kabisa hata watu wengine.
[emoji117]Alianzisha mashindano ya Olympic kama tamaduni iliyosahauliwa nchini ujerumani.
[emoji117]Alikuwa kiongozi wa kwanza kujali watoto. Alipenda watoto wote wasome, wafundishwe ukakamavu wawe na afya njema hadi leo nchini Ujerumani kuna malipo ya 200 Euro kwa kila mtoto.
[emoji117]Alitoa ajira. Baada ya Hitler kuingia madarakani alikomesha tatizo la ajira kupitia uzalishaji, Ulinzi, kilimo. Nk.
[emoji117]Alidumisha umoja baina ya nchi za ulaya eg. Marekani na Urusi.
[emoji117]Alilinda wanyama. kufuatia kifo cha mpwa waake kwa kujinyonga, Hitler aliacha kula nyama na kuzuia nchi nzima ulaji wa nyama na kuwalinda wanyama.
Sasa kwanini dunia inamchukulia Hitler kama gaidi mno zaidi hata ya Napoleon?
karibu kwa mchango.
View attachment 1829408