Kwanini dunia inamchukulia Adolf Hitler kama kiongozi katili katika historia ya Dunia?

Kwanini dunia inamchukulia Adolf Hitler kama kiongozi katili katika historia ya Dunia?

Wale watoto uliokuwa unawaona anazurula nao ni watoto wa majenerali wa Wehrmacht lazima awapende. Watoto wa Joseph Goebbels na Heinrich Himmler angewachukia vipi wakati baba zao ni marafiki zake wakubwa na washirika wake, na hao wazazi wao waliwapenda sana.

Walikuwa wanakuja nao kwenye parties, aliwaona wazazi wao wakati wanafunga ndoa, alilazimika apende sana kile wazazi wao wanapenda, hakuwa na sababu ya kuwachukia. Hakuna sehemu inaonesha alifanya juhudi za ziada kupenda watoto. Tatizo ni pale alipotumia Hitler's Youth kwenye frontline. Vitoto vidogo vinaenda kupigana na wanajeshi wa Canada waliokomaa vinashinda kwenye ruins za miji mazingira magumu sana.

Yeye alitoa kile Wajerumani wanapenda: ajira, superiority, chuki dhidi ya Wayahudi, kisasi dhidi ya kuonewa baada ya WW1, uchumi mkubwa, jeshi imara baada ya kupigwa vitani na kulazimishwa wawe na kajeshi kadogo.

Hitler hakuwa rude kama Stalin ambaye hata wanae alikuwa anawachukulia kama raia wa kawaida. Mmoja alijipiga risasi, mwingine alikamatwa vitani frontline, mkewe naye sijui alijiua. Hitler hakupenda watoto ila hakuwa mtu wa kuchukiza watu wake wa karibu. Na alikuwa mstaarabu sana mbele ya Wajerumani waliokuwa mlengo wake. Hata mtu kama Field Marshall Erwin Rommel aliyeshiriki kupanga kumuua Hitler alipewa option na Hitler kwamba kwa sababu ya heshima na sifa kubwa alizonazo kwenye jeshi, akubali ajiue ili azikwe kwa heshima ya kijeshi na familia yake ipewe stahiki zote. Angekuwa Stalin pale angeua familia nzima kwa fujo.

Kwanza story nyingi tunazopewa za Hitler zimejazwa uongo ili kumuonesha mbaya sana zaidi ya alivyo. Pale Ujerumani kuna mchanganyiko wa asili nyingi za watu kutoka Poland, Austria (kama Hitler mwenyewe), UK, France. Kwa nini awachukie Wayahudi na apate kuungwa mkono sana, kwa nini hakuchukia wenye asili ya Poland. Ukiuliza maswali kama aya utaitwa Holocaust synthesizer.

Hata Waingereza waliwatumia watoto vitani. Mimi babu yangu alipenlekwa Burma akiwa na miaka 14 tu!
 
Dunia imekuwa ikitawaliwa na viongozi wengi walio makatili na wanyama sana mfano.ukiachana na Hitler(1889-1945) kuna
1.Joseph Stalin(1878-1953)
2.Pol Pot (1925-1998)
3.Saddam Hussein (1937-2006)
4.Id Amin (1952-2003)
Nachohitaji kufahamu zaidi kutoka kwenu ni kwanini Hitler anatajwa zaidi kama kiongozi katili mno mbali na kutenda mambo mazuri yafuatayo:-
[emoji117]Alizuia Uvutaji wa sigara katika nchi ya ujerumani. Hitler alikuwa muathirika wa Uvutaji sigara hadi pale alipopona 1919 na kuzuia kabisa hata watu wengine.
[emoji117]Alianzisha mashindano ya Olympic kama tamaduni iliyosahauliwa nchini ujerumani.
[emoji117]Alikuwa kiongozi wa kwanza kujali watoto. Alipenda watoto wote wasome, wafundishwe ukakamavu wawe na afya njema hadi leo nchini Ujerumani kuna malipo ya 200 Euro kwa kila mtoto.
[emoji117]Alitoa ajira. Baada ya Hitler kuingia madarakani alikomesha tatizo la ajira kupitia uzalishaji, Ulinzi, kilimo. Nk.
[emoji117]Alidumisha umoja baina ya nchi za ulaya eg. Marekani na Urusi.
[emoji117]Alilinda wanyama. kufuatia kifo cha mpwa waake kwa kujinyonga, Hitler aliacha kula nyama na kuzuia nchi nzima ulaji wa nyama na kuwalinda wanyama.

Sasa kwanini dunia inamchukulia Hitler kama gaidi mno zaidi hata ya Napoleon?
karibu kwa mchango.
View attachment 1829408View attachment 1829409View attachment 1829407

Mkuu HE General Idd Amin Dada (CBE, VSO, DSO, LFPU, VC) hakuzaliwa mwaka 1952 kama ulivyoandika bali alizaliwa mwaka 1925. Pia, hakuwa mtu mbaya wala katili kama ulivyoaminishwa.
 
Aliyeandima story ndio kaamua Hitler awe dikiteta. ILa Hitler ni moja ya viongozi bora kuwahi kutokea ujerumani na ndio aliyeinyanyua German
 
Aliyeandima story ndio kaamua Hitler awe dikiteta. ILa Hitler ni moja ya viongozi bora kuwahi kutokea ujerumani na ndio aliyeinyanyua German
Hitler hakuinyanyua ujerumani aliikuta iko juu kwani vita ya kwanza ujerumani ilipigana na nchi zingine za ulaya ingawa mchango wake kwenye Maendeleo ya ujerumani siyo haba,likiwamo gari lisilopozwa na maji na matayalisho ya haraka ya vita ilikulipa kisasi,ndani ya miaka saba ujerumani ilikuwa tayari kwa timbwiri jingine dhidi ya dunia kama tulivyoona.
 
Kwa sababu ndiye aliyesababisha vita vikuu vya pili vya dunia
 
Idd Amin Dada hakuzaliwa mwaka 1952 na wala hakuwa katili. Tuwekee hapa data za ukatili wake ikiwa unasema kweli.
 
Back
Top Bottom