Kwanini Duniani Mawaziri wa Fedha hawana historia ya kuwa Marais?

Kwanini Duniani Mawaziri wa Fedha hawana historia ya kuwa Marais?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mawaziri wa fedha katika nchi nyingi Duniani hawana historia yakuwa Marais wa Nchi. Lakini ni mawaziri wachache wa fedha ambao upendwa na wananchi baada ya kushika wadhifa huo.

Ni zipi zinaweza kuwa sababu za viongozi hawa wa potifolio muhimu serikalini kutoaminika na kupewa nafasi ya juu?

Ni kwanini waaminike kusimamia hazina ya nchi lakini wasiaminike kusimamia na kuongoza wananchi?
 
Dr Phillip Mpango ni Makamo wa Rais usisahau.
 
Dr Phillip Mpango ni Makamo wa Rais usisahau.
Ila siyo Rais wa nchi!

Nazungumzia Urais wakipitishwa katika mfumo wa kisiasa Eg kupitishwa na chama na kwenda kwa wapiga kura

Nazungumzia kuaminiwa na umma kuongoza nchi
 
Umezaliwa jana wewe JK aliwahi kuwa Waziri wa fedha mwaka 1995
 
Mawaziri wa fedha katika nchi nyingi Duniani hawana historia yakuwa Marais wa Nchi. Lakini ni mawaziri wachache wa fedha ambao upendwa na wananchi baada ya kushika wadhifa huo.

Ni zipi zinaweza kuwa sababu za viongozi hawa wa potifolio muhimu serikalini kutoaminika na kupewa nafasi ya juu?

Ni kwanini waaminike kusimamia hazina ya nchi lakini wasiaminike kusimamia na kuongoza wananchi?
Huyu wa mawe bado ana hizo ndoto
 
Back
Top Bottom