Kwanini Eng. Hersi hatakiwi Yanga kwa Sasa? Jibu Hili Hapa

Kwanini Eng. Hersi hatakiwi Yanga kwa Sasa? Jibu Hili Hapa

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Nakumbuka toka mwaka 1995 kuna huyu mzee Juma Magoma amekuwa na migogoro ndani ya club ya Yanga Afrika.

Huyu mzee Magoma anadai anaipinga katiba ambayo alikuwepo na kukubali ipitishwe, ila ameonekana anatengwa kwenye meza ya mfalme, wakati wa uongozi ndg George Mpondela aliwahi kuleta vurugu.

Huyu mzee ametengwa bwana na uongozi wa Eng. Hersi hivyo mzee anaenda mahakama za kiraia kutaka uongozi uondolewe, kwa nini mzee Magoma analeta hii sasa?.

Kuna watu pembeni yake (wazee) na wengine si wazee wanaona mafanikio ya team wanaamua kutaka kuivuruga.

...etc
 
Msikilizeni huyu mzee mdaa huu Wasafi FM ndipo utajua uk#ma anao mwing kichwani.Anakata katiba na kusema haijapigiwa kula na wanachama wote, anapinga style waliyo itumia kwa kuwatumia viongozi wa matawi watano kutoka kila tawo wapitishe katiba. Mbona huu utaratibu unafanyika sehemu nyingi, kwenye vyama vya siasa,kwenye imani hizi za Kikristo,utaratibu upo hivyo.

Yy alitaka kama taw8 lina wanachama mia basi wote,wapige kura.Anaulizwa je shida ya uongozi, katiba......? Anadai shida yake ni baraza la wadhamini. Anauliza tena kesi iliamuliwa mwaka jana why hii hukumu ibuke mwaka huu, anadai hata yy mwenyewe hajui aliye ipost hiyo nakala ya hukumu mwaka jana kwenye mitandao.

Yani mcenge mcenge haeleweki anataka nn.Anakazi ya kujisifia kuwa yy mwanachama wa Yanga miaka 35,akiulizwa mchango wake kwa Yanga atakwambia busara,sasa busara tokea lini zikalipa mishahara na posho za wachezaji.
 
Nchi inawazee baadhi wa Hovyo Sanaa,vimejaa njaa vimeshindwa kutafuta pesa ujanani kazi kuhonga tu Sasa vinaleta fitina Ili vipate ulaji(njaa) tupu. Viva Hersie
Apana mkuu wazee ndio wameunda yanga toka enzi ,wapo sahihi kula matunda ya kazi ya mikono yao mkuu, nyuma daima mbele mwiko💪
1721187157057.jpg
 
DRAMA FC.
Mara hamisa mabeto awe mshawishi wachezaji kusain kisha wafanye fotoshuti, mara kesi ya mzee kashtaki kiongozi wake...
 
kama tulivokubaliana vijana hakuna kuwasalimia wazee ni mikausho tu
 
Back
Top Bottom