mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Gen A wameamka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee apewe timu😂😂😂
Kiuni, huyu mzee anafaa kuwa supu, haki ya mama.Huyu mzee anatakiwa achapwe viboko hadharani, atakua amechukua hela kwa MUDDY awavuruge Yanga
Mkuu Upo?Njaaa.....
Hao ndo wazee wanaojielewa.sio mzee mpili anawashobokea jisiemUnawasapoti ili kurudi kwenye bakuri!.
Sasa huyo ana uzee gani wakati anaonekana dhahiri ni wale wakabaji wa Magomeni kitambo.Ndio maana huwa siwapishagi Wazee kwenye siti za daladala
Magoma ameikataa hiyo barua, anadai kwanza haikutakiwa kutoka anataka kwenda Mahakamani kuihoji Mahakama ili kujis ni nani aametoa hizo taarifa, maana hukumu anayo tangu mwaka jana na haikuwahi kuvuja, pia kwa hali ya timu ilipo sada na inavyoganya viziti hakutaka hizo sintofahamu, anashangaa hizo habari za mitandaoninzimetika wapi na anadai hiyo ya mitandaoni haitambui.Nakumbuka toka mwaka 1995 kuna huyu mzee Juma Magoma amekuwa na migogoro ndani ya club ya Yanga Afrika.
Huyu mzee Magoma anadai anaipinga katiba ambayo alikuwepo na kukubali ipitishwe, ila ameonekana anatengwa kwenye meza ya mfalme, wakati wa uongozi ndg George Mpondela aliwahi kuleta vurugu.
Huyu mzee ametengwa bwana na uongozi wa Eng. Hersi hivyo mzee anaenda mahakama za kiraia kutaka uongozi uondolewe, kwa nini mzee Magoma analeta hii sasa?.
Kuna watu pembeni yake (wazee) na wengine si wazee wanaona mafanikio ya team wanaamua kutaka kuivuruga.
...etc
Huyu ni chizi, wewe hapo umemuelewa? ulimwengu wa digitali anashanngaa kitu kuvuja?Magoma ameikataa hiyo barua, anadai kwanza haikutakiwa kutoka anataka kwenda Mahakamani kuihoji Mahakama ili kujis ni nani aametoa hizo taarifa, maana hukumu anayo tangu mwaka jana na haikuwahi kuvuka, hiyo ya mitandaoni haitambui.
Hersi kaingia kwa mchongo, na mambo ya mchongo hayadumuDuuh yaani kwa mafanikio haya
Hersi aondoke kweli 🙄
Tanzania tulipofikia sasa pabaya
Uchawi wa live live huu
Wanataka nini sasa
Wapewe wao timu au
Amelieasha, anajaribu kujitoa. Huku kwingine wenzake wamemuwashia moto.Huyu ni chizi, wewe hapo umemuelewa? ulimwengu wa digitali anashanngaa kitu kuvuja?
Hoja alifunguwa case au hapana?