Msikilizeni huyu mzee mdaa huu Wasafi FM ndipo utajua uk#ma anao mwing kichwani.Anakata katiba na kusema haijapigiwa kula na wanachama wote, anapinga style waliyo itumia kwa kuwatumia viongozi wa matawi watano kutoka kila tawo wapitishe katiba. Mbona huu utaratibu unafanyika sehemu nyingi, kwenye vyama vya siasa,kwenye imani hizi za Kikristo,utaratibu upo hivyo.
Yy alitaka kama taw8 lina wanachama mia basi wote,wapige kura.Anaulizwa je shida ya uongozi, katiba......? Anadai shida yake ni baraza la wadhamini. Anauliza tena kesi iliamuliwa mwaka jana why hii hukumu ibuke mwaka huu, anadai hata yy mwenyewe hajui aliye ipost hiyo nakala ya hukumu mwaka jana kwenye mitandao.
Yani mcenge mcenge haeleweki anataka nn.Anakazi ya kujisifia kuwa yy mwanachama wa Yanga miaka 35,akiulizwa mchango wake kwa Yanga atakwambia busara,sasa busara tokea lini zikalipa mishahara na posho za wachezaji.