ThnkingAloud
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 546
- 564
Gen - Z wa Tanzania wasiojua haki wa hata kujua kuipigania! Utaratibu wa kupata haki unawataka wakate rufaa mahakama ya juu ndani ya muda wa kukata rufaa kisheria. Zingine ni kelele tu.Nchi inawazee baadhi wa Hovyo Sanaa,vimejaa njaa vimeshindwa kutafuta pesa ujanani kazi kuhonga tu Sasa vinaleta fitina Ili vipate ulaji(njaa) tupu. Viva Hersie
Hujui maana sheria na utaratibu mkuu.Nchi inawazee baadhi wa Hovyo Sanaa,vimejaa njaa vimeshindwa kutafuta pesa ujanani kazi kuhonga tu Sasa vinaleta fitina Ili vipate ulaji(njaa) tupu. Viva Hersie
DMLol. Atakayesema ni Mzee Magoma Bina.
Nmekumiss.
Hata kama kwamchongo si timu inaendaHersi kaingia kwa mchongo, na mambo ya mchongo hayadumu
Mjinga sana, wakati timu inatembeza bakuli yeye alikua anafirimbwaKiuni, huyu mzee anafaa kuwa supu, haki ya mama.
Hivi anamalengo mema na Yanga ama anapigania tumbo lake tu.
Huyu mzee pimbi sana.Nakumbuka toka mwaka 1995 kuna huyu mzee Juma Magoma amekuwa na migogoro ndani ya club ya Yanga Afrika.
Huyu mzee Magoma anadai anaipinga katiba ambayo alikuwepo na kukubali ipitishwe, ila ameonekana anatengwa kwenye meza ya mfalme, wakati wa uongozi ndg George Mpondela aliwahi kuleta vurugu.
Huyu mzee ametengwa bwana na uongozi wa Eng. Hersi hivyo mzee anaenda mahakama za kiraia kutaka uongozi uondolewe, kwa nini mzee Magoma analeta hii sasa?.
Kuna watu pembeni yake (wazee) na wengine si wazee wanaona mafanikio ya team wanaamua kutaka kuivuruga.
...etc
Acha matusi toa hojaMsikilizeni huyu mzee mdaa huu Wasafi FM ndipo utajua uk#ma anao mwing kichwani.Anakata katiba na kusema haijapigiwa kula na wanachama wote, anapinga style waliyo itumia kwa kuwatumia viongozi wa matawi watano kutoka kila tawo wapitishe katiba. Mbona huu utaratibu unafanyika sehemu nyingi, kwenye vyama vya siasa,kwenye imani hizi za Kikristo,utaratibu upo hivyo.
Yy alitaka kama taw8 lina wanachama mia basi wote,wapige kura.Anaulizwa je shida ya uongozi, katiba......? Anadai shida yake ni baraza la wadhamini. Anauliza tena kesi iliamuliwa mwaka jana why hii hukumu ibuke mwaka huu, anadai hata yy mwenyewe hajui aliye ipost hiyo nakala ya hukumu mwaka jana kwenye mitandao.
Yani mcenge mcenge haeleweki anataka nn.Anakazi ya kujisifia kuwa yy mwanachama wa Yanga miaka 35,akiulizwa mchango wake kwa Yanga atakwambia busara,sasa busara tokea lini zikalipa mishahara na posho za wachezaji.
Nimeziweka au ww una zako? Zangu hizo hapo zako je.Acha matusi toa hoja
Nakumbuka toka mwaka 1995 kuna huyu mzee Juma Magoma amekuwa na migogoro ndani ya club ya Yanga Afrika.
Huyu mzee Magoma anadai anaipinga katiba ambayo alikuwepo na kukubali ipitishwe, ila ameonekana anatengwa kwenye meza ya mfalme, wakati wa uongozi ndg George Mpondela aliwahi kuleta vurugu.
Huyu mzee ametengwa bwana na uongozi wa Eng. Hersi hivyo mzee anaenda mahakama za kiraia kutaka uongozi uondolewe, kwa nini mzee Magoma analeta hii sasa?.
Kuna watu pembeni yake (wazee) na wengine si wazee wanaona mafanikio ya team wanaamua kutaka kuivuruga.
...etc
Katumwa ila hafiki mbali.Huyu mzee pimbi sana.
Mjinga sana.Katumwa ila hafiki mbali.
Jana baada ya kuona moto unawaka kwa kasi akaanza kutoa mikwara, atakayemgusa atapatavcha mtema kuni, mara akifa albadiri itamuhusu aliyemuua, mara wanangu nishawapa husia nikifa gafla!.
Yaani anapata taabu sana hivi sasa π !.
hajui lolote kuhusu representative demokracy huyu. kifupi kichwani hamna kitu. yaani wanachama woooote wakachague na kuchaguliwa itwezekana vipi sasa? mbona bungeni hatuendi wote kama ni hivyo?Msikilizeni huyu mzee mdaa huu Wasafi FM ndipo utajua uk#ma anao mwing kichwani.Anakata katiba na kusema haijapigiwa kula na wanachama wote, anapinga style waliyo itumia kwa kuwatumia viongozi wa matawi watano kutoka kila tawo wapitishe katiba. Mbona huu utaratibu unafanyika sehemu nyingi, kwenye vyama vya siasa,kwenye imani hizi za Kikristo,utaratibu upo hivyo.
Yy alitaka kama taw8 lina wanachama mia basi wote,wapige kura.Anaulizwa je shida ya uongozi, katiba......? Anadai shida yake ni baraza la wadhamini. Anauliza tena kesi iliamuliwa mwaka jana why hii hukumu ibuke mwaka huu, anadai hata yy mwenyewe hajui aliye ipost hiyo nakala ya hukumu mwaka jana kwenye mitandao.
Yani mcenge mcenge haeleweki anataka nn.Anakazi ya kujisifia kuwa yy mwanachama wa Yanga miaka 35,akiulizwa mchango wake kwa Yanga atakwambia busara,sasa busara tokea lini zikalipa mishahara na posho za wachezaji.
Kizee kichawi hiki kabisa, hii ni tabia ya wachawi 100%, hawapendi maendeleo ya mtu mwingine kabisaApana mkuu wazee ndio wameunda yanga toka enzi ,wapo sahihi kula matunda ya kazi ya mikono yao mkuu, nyuma daima mbele mwikoπͺView attachment 3044435
Thibitisha.Kizee kichawi hiki kabisa, hii ni tabia ya wachawi 100%, hawapendi maendeleo ya mtu mwingine kabisa
Nakumbuka toka mwaka 1995 kuna huyu mzee Juma Magoma amekuwa na migogoro ndani ya club ya Yanga Afrika.
Huyu mzee Magoma anadai anaipinga katiba ambayo alikuwepo na kukubali ipitishwe, ila ameonekana anatengwa kwenye meza ya mfalme, wakati wa uongozi ndg George Mpondela aliwahi kuleta vurugu.
Huyu mzee ametengwa bwana na uongozi wa Eng. Hersi hivyo mzee anaenda mahakama za kiraia kutaka uongozi uondolewe, kwa nini mzee Magoma analeta hii sasa?.
Kuna watu pembeni yake (wazee) na wengine si wazee wanaona mafanikio ya team wanaamua kutaka kuivuruga.
...etc
Kampeni Yanga ya mahakamani huyo mzee wenu kipenziMahakama imesha amua labda eng aende kua raisi wa Pamba