Mwingingine ni uduwanzi tu
Imagine nmetoka kuoa tu na tuna miezi mitatu tu kwenye ndoa , maisha bado vurugu vurugu yan hadi bado madeni mengine ya harusi hatuja clear... Halafu wife analilia mfanya kazi na yeye ni mama wa nyumbani.. Kidume nkakaza kwamba hapana hiyo kitu haiwezekani hilo wazo la mfanya kazi lifte kabisa... Mara ghafla mtu hodi mlangoni na mashangazi kaja mawili safari ya kuvuka mikoa mitatu na nauli kalipiwa na dada ake wife yani shemeji angu... Haloo huyu binti anapiga kazi balaa... Ataamka mapema atafanya usafi, atapika chai mapema, maji anafata, chakula anapika kwa wakati japo quality inapungua ukilinganisha na anavyopika wife... yani hapa nawaza nmtimue yeye au nmtimue wife Na ni lazima mmoja atimkie mbali fumbafu