Kwanini familia za nchi zilizoendelea hazina wasaidizi wa kazi za nyumbani (house girls)?

Ulaya ukitaka maid unamlipa mshahara kama mfanyakazi wa serikali au sekta binafsi ana haki zote Hadi mafao,..so wachache wanamudu kuwaajiri...sio kama huku kwetu unamtupia ka hamsini flani kwa mwezi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo maana wengi wanaokotwa huku, kupelekwa huko lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina sista angu mmoja huya ana house girl na hana kazi yoyote ye kulala tu na kwenda viwanja kazi zote anafanya house girl. mtoto wake wa kike naye amekua hata kujifulia hafui house girl atafua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nchi zilizoendelea MTU anayeweza kumlipa housegirl ni wale mafogo aka matajir wakubwa. Kule HYo ni Kazi rasmi Kabsa na unalipa pesa za kutosha. Sio Kama huku uyaya unalipa 50000 na Bado unamsimamanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Wanaume wa kia africa wamelelewa kishenzi sana yaan hawana hurumahata kidogo na wenza wao unakuta anamfanyisha mkewe mikazi ye amekaa tu wala hajali na bado analalama juu vitu vinachelewa!

Huyo ndugu yako ni mimi, muda wa kupika pika kila saa unautoa wapi km sio mama wa nyumbani ni kazi sana! Hao ndugu wa mume km wanamuonea huruna sana ndugu yao wawe wanamletea fresh food...yaan Africa tuna upuuz mwingi sana wao maisha ya watu hata sijui yanawahusu nini!
 
Namkumbuka housigelo wa mjomba enzi hizo

Anaitwa Neema alikuwa na tako huyo sio mchezo na alikuwa anapenda kunyoa Denge

Ilifikia kipindi picha haziendi na shangazi

Bila shaka mi na mjomba na binamu yangu sudi tutakuwa tumekula pale
Aroo huyo Neema nampataje?
 
Hivi nikienda na Hg wangu Iringa nikaenda nae huko kimyakimya watanitaka kumlipa hivyo pia?
 
Hivi nikienda na Hg wangu Iringa nikaenda nae huko kimyakimya watanitaka kumlipa hivyo pia?
Atakua na kibali gani cha kuishi nchini? Wajanja wakimuelimisha akienda police na kusema anatumikishwa kazi za ndani, atapewa vibali vyote na wewe kushtakiwa kuwa human trafficking na enslaving.
 
Vyombo - Wash disher ipo...
Nguo - Washing mashine ipo...
Sakafu na carpert - Vacum cleaner ipo...
Garden - lawn mower ipo...
Sokini / kazini / shuleni - Private trasport ipo...
Chakula - Rice cooker, na vipikia vyote vipo...

Mdada wa kazi wa nini?
 
Kwa kweli wife ambaye ni mama wa nyumbani ambaye hana mtoto wala siyo mjamzito, kutaka msaidizi ni uvivu tu. Halafu ndoa mwanzoni inapendeza mkiwa wawili tu nyumbani. Hiyo ya kuoa kwenye honeymoon tayari mko 3-5 nyumbani inakosesha raha ndoa.
Kwakweli huyo ni mvivu..mkiwa wawili raha sana..mi nakumbuka nilileta hosuegal baada ya miaka 2..napo nilitafuta nikiwa na mimba ya miezi 8...sababu nilikua lzm nipate mtu wa kunisaidia..isingekua mimba aaaah ningebaki na mr mpkaaa....
Raha sana mkiwa wasela
 
Sheria na haki za wafanyakaz wa ndani hakuna ilo uchangia kla mtu kuajiri mfanyakaz wandan ata km hana uwezo wa kumlipa na kumiliki
Umasikini ili ni ttzo sana familia nying ni maskin na kaz isiyoitaj taaluma au utaaram ni kaz za ndan kwaiyo iyo nayo usababisha kla mtu kuajiri mfanyakaz wa ndan au garden
Tanzania ni nchi pekee ambayo mfanyakaz tena wa mshahara wa kima cha chini na yy anajiri mfanyakazi wa ndan sjui anamlipa kias gan wakat yy mwenyewe ni kima cha chini
Bongo unakuta mtu amepanga chuma kimoja na sebure na yy kaajiri mfanyakaz masihara aya
 
Unajua tatizo kubwa hapo linaanzia kwenye mfumo wa haki za binadamu huku Tanzania. Huku bado hatujastaaribika vizuri hatujaanza kuzingatia haki za binadamu bado.

Yaani watu hata ubinadamu tu hawana halafu ukimkuta mmama mwenyewe utadhani kashika dini haswa lakini matendo sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…