Kwanini fedha zetu Tanzania shillings zinashuka thamani kwa kasi sana toka 2300 kwa sasa ni 2572 kwa $1

Ukifanya transaction kutoka kwenye acc ya tzs au kutoka mitandao ya simu ndio utapata hizo rates. Kwa manguli hatutumii hiyo njia. Fungua acc ya dola tena tumia ya stanbic personal current acc.
Then mkuu kudeposit una deposit pesa ipi shilingi au dola?
 
Kw jinsi uchumi wetu unavyodorora itafika hatua 500 unanunulia kibiriti kimoja, au pipi kifua.

Soon tutakuwa failed state.
 
Ukifanya transaction kutoka kwenye acc ya tzs au kutoka mitandao ya simu ndio utapata hizo rates. Kwa manguli hatutumii hiyo njia. Fungua acc ya dola tena tumia ya stanbic personal current acc. Ndio uitumie kufanya malipo ya usd.
Mkuu hii account ya dollar ya stanbic, wanacharge kiasi gani kwa mwezi? Makato yake yapoje?
 
Ukifanya transaction kutoka kwenye acc ya tzs au kutoka mitandao ya simu ndio utapata hizo rates. Kwa manguli hatutumii hiyo njia. Fungua acc ya dola tena tumia ya stanbic personal current acc. Ndio uitumie kufanya malipo ya usd.
Gharama za makato ya kurndesha hii account zikoje mkuu!?
 
Mkuu hii account ya dollar ya stanbic, wanacharge kiasi gani kwa mwezi? Makato yake yapoje?
Makato kwa mwezi hamna, sijawai ona wanakata kwa mwezi. Nadhan wao wanakata makato ya mwaka na ada ya card ya atm kwa mwaka around 3.5isd! Wako very fair aisee!

Nenda stanbic bank ulizia "account ya personal current account" hakikisha wamekupa atm kadi ya rangi ya gold na uwaambie unatakaniwe inafanya manunuzi online!
 
Gharama za makato ya kurndesha hii account zikoje mkuu!?
Makato kwa mwezi hamna, sijawai ona wanakata kwa mwezi. Nadhan wao wanakata makato ya mwaka na ada ya card ya atm kwa mwaka around 3.5isd! Wako very fair aisee!

Nenda stanbic bank ulizia "account ya personal current account" hakikisha wamekupa atm kadi ya rangi ya gold na uwaambie unataka iwe inafanya manunuzi online!
 
Jamani hivi kwanini fedha zetu Tanzania shillings zinashuka thamani kwa kasi sana toka 2300 kwa sasa ni 2572 kwa $1 hivi shida nini huu mwaka au ni mambo gani hasa yamesababisha hii hali
Ni dhahili kua Bi tozo nchi imemshinda hata miaka mitano hajamaliza shilingi imetoka kwene 1300-1500
Kuna shida na huyu mamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…