Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Kwanza YouTube haina mfumo mmoja Kuna av1, vp8, vp9, x264 etc japo unaweza ona zote zinaishiwa na. Mp4 ila codecs zinaweza kuwa tofauti.Mkuu samahan nje ya mada...
Hivi dvd player ya gari ni format gan ya video inakubali.
Maana nikiweka video kwenye flash, video nyingine zinaplay nyingine zinagoma.. Wakati zote huwa nazidownload youtube kwa format moja!
Asante nitajaribuKwanza YouTube haina mfumo mmoja Kuna av1, vp8, vp9, x264 etc japo unaweza ona zote zinaishiwa na. Mp4 ila codecs zinaweza kuwa tofauti.
Ungepata model ukai Google ingekuwa rahisi kujua.
Ila kuwa safe Jaribu. Mp4 ya x264 ni format ya zamani na ipo almost vifaa vyote vya miaka ya Karibuni.
Ikikataa tumia video editor eka huo mfumo wa DVD, convert ziende DVD eka kwenye flash itaplay I hope.
SorryNdio mwisho wa uwezo wake, kama specification ilikuwa kusoma mpka ya gb32 haiwez soma zaid ya hapo, kila device huwa na limit ya flash au memory card ianyoweza soma, mf simu kitochi uweke memory card ya 1tb
Hapana, maximum ni 256 GB.Sorry
Napenda kujua
1Tb memorycard inaweza kusoma vizuri kwenye Samsung A2 core?
Sorry
Napenda kujua
1Tb memorycard inaweza kusoma vizuri kwenye Samsung A2 core?
flash/memorycard yoyote inasoma simu yoyote bila kujali size,Hapana, maximum ni 256 GB.
Asante kwa majibu mazuriflash/memorycard yoyote inasoma simu yoyote bila kujali size,
zile wanazoandika kwenye specs ni kwa mfumo wa exfat, ukiformat hio 1tb yako kwenye fat32 hata Nokia ya tochi inasoma.
Nyingi sio NTFS (New Technology Filing System)Wadau hivi ni kweli asilimia kubwa ya smart tv na deki zetu hizi huwa hazina uwezo wa kusoma flash ya uwezo wa 64gb kwenda juu?
Note: Flash ambazo ni ORIGINAL.
Maana nimetest kuanzia 8gb mpaka 32gb zinasoma ila 64gb,128gb chenga ila kwenye subwoofer mp3 zinasoma.
Mwenye kujua kiundani kuhusu hili wadau?
Uko sahihi lakin flsh ya 1 tb uki format kwa fat32 inapoteza uwezo wake wa kuhifadh vitu vingi na badala yake itahifadh vitu mwixho gb 32 tuh kulingana na fat32 partition limitationNa mimi nakazia hapa kifaa chochote kinachoingia SD card unaweza ukaweka SD card yoyote hata ya 512GB utalazimika tu kuiformat kwa FAT32.
Sema itapoteza uwezo wa kuweka mafile makubwa, mfano una movie ama game la GB 10 halitaingia, ila mafile madogo madogo kama movies za mb 700 na miziki ya mb kadhaa yataingia vizuri. Kama kumbukumbu ipo sahihi limit ni 4gb.
Hapana inahifadhi vyote unless iwe feki, kwenye handheld zangu kama Psp huwa natumia sd card kubwa na unaijaza vizuri tu.Uko sahihi lakin flsh ya 1 tb uki format kwa fat32 inapoteza uwezo wake wa kuhifadh vitu vingi na badala yake itahifadh vitu mwixho gb 32 tuh kulingana na fat32 partition limitation
Hdd mfumo wake ni NTFS, hizi tunazotumia na windows, flash na memory card za kisasa ni Exfat, na flash na memory card za zamani ni FAT32,
Hizo deki na TV za zamani mpaka simu na game console wakati zinatengenezwa Fat 32 na NTFS ndio zilikuwepo, hata windows za zamani ukiformat unaletewa menu ya FAT32 sababu ndio ilikuwepo wakati huo.
Hivyo ili zisome vifaa vya kisasa inabidi hivi vifaa uviformat kwa format za kizamani, mfano hio TV yako inayosoma HDD ya NTFS aki format memory card yake kwa NTFS basi nayo itasoma, ila fat 32 ni safe zaidi ipo hata Enzi zkin
Kwa nojuavyo mim format ya fat32 ina limit ya kuingiza file video au game wixho gb 4 tuuh isizid na kwa ukubwa wa vitu vyote vitakaingia visizid gb 32Hapana inahifadhi vyote unless iwe feki, kwenye handheld zangu kama Psp huwa natumia sd card kubwa na unaijaza vizuri tu.
Unachoongea ni sahihi sababu kipindi specification za FAT32 zinawekwa 32GB ndio ilikuwa storage kubwa zaidi. Hivyo on paper ni 32GB ila uhalisia hadi 2TB unaweka na FAT32.Nkuba
Kwa nojuavyo mim format ya fat32 ina limit ya kuingiza file video au game wixho gb 4 tuuh isizid na kwa ukubwa wa vitu vyote vitakaingia visizid gb 32
Kulingana na maelekezo ya fat32 partition limitation
Na ukitaka ibebe vitu zaid ya uwezo huo bac utalazimika kui format kwa exfat au NTFS
Hdd mfumo wake ni NTFS, hizi tunazotumia na windows, flash na memory card za kisasa ni Exfat, na flash na memory card za zamani ni FAT32,
Hizo deki na TV za zamani mpaka simu na game console wakati zinatengenezwa Fat 32 na NTFS ndio zilikuwepo, hata windows za zamani ukiformat unaletewa menu ya FAT32 sababu ndio ilikuwepo wakati huo.
Hivyo ili zisome vifaa vya kisasa inabidi hivi vifaa uviformat kwa format za kizamani, mfano hio TV yako inayosoma HDD ya NTFS aki format memory card yake kwa NTFS basi nayo itasoma, ila fat 32 ni safe zaidi ipo hata Enzi zkin
Kwa nojuavyo mim format ya fat32 ina limit ya kuingiza file video au game wixho gb 4 tuuh isizid na kwa ukubwa wa vitu vyote vitakaingia visizid gb 32Hapana inahifadhi vyote unless iwe feki, kwenye handheld zangu kama Psp huwa natumia sd card kubwa na unaijaza vizuri tu.
Vifaah vya zaman kama dvd player na tv??Unachoongea ni sahihi sababu kipindi specification za FAT32 zinawekwa 32GB ndio ilikuwa storage kubwa zaidi. Hivyo on paper ni 32GB ila uhalisia hadi 2TB unaweka na FAT32.
Same kwa exFat kipindi inatoka ukisoma simu zake utaona wanaandika up to 64GB ila siku hizi kuna exfat za GB 512 kibao na zinakubali mpaka vifaa vya zamani.
Kifaa chochote mkuuNkuba
Kwa nojuavyo mim format ya fat32 ina limit ya kuingiza file video au game wixho gb 4 tuuh isizid na kwa ukubwa wa vitu vyote vitakaingia visizid gb 32
Kulingana na maelekezo ya fat32 partition limitation
Na ukitaka ibebe vitu zaid ya uwezo huo bac utalazimika kui format kwa exfat au NTFS
Vifaah vya zaman kama dvd player na tv??
Mboni mim kila nikijaribu hua inashia gb 32 mwixho nikizidixha hapo zinakua virus sio file tenaKifaa chochote mkuu
Angalia storage yako mkuu, umejaribu kuipima na app inayoonesha ukubwa wake? Kuna storage feki zinasema zina GB nyingi kuliko uhalisia.Mboni mim kila nikijaribu hua inashia gb 32 mwixho nikizidixha hapo zinakua virus sio file tena
Naomba unitumie link ya iyo program kama hutojal bosAngalia storage yako mkuu, umejaribu kuipima na app inayoonesha ukubwa wake? Kuna storage feki zinasema zina GB nyingi kuliko uhalisia.
Download H2testW halafu run chagua storage yako itajaza mafile na kupima uwezo halisi.
Naomba unitumie link ya iyo program kama hutojal bos
cheki specs za kifaa format gani zinakubaliNa jee ikiwa inasoma na kutambua audio na picha tuu bila video hapa shida Huwa nn
Embu check hapa shida nn ndugucheki specs za kifaa format gani zinakubali