Kwanini Freeman Mbowe alienda Ikulu Usiku?

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Huwa naikumbuka sana picha ya Rais Samora Machel aliyopiga na P W Botha ,Wazir Mkuu wa Africa Kusini,tarehe 13 March 1984.

Wakati huo nilikuwa darasa la Tatu.Baba alikuwa akienda mjini anarudi na Gazeti la Mfanyakazi hata kama ni la wiki tatu!

Picha ile inamionesha Rais Samora akisaini Mkataba wa Amani na Ujirani mwema na Makaburu!

Samora alikuwa amekunja sura ,na hali ya mwili kutokubaliana na moyo!

Mkataba huu,ulikuwa ni Mkatabauliolenga kupunguza uhasama baina ya nchi mbili!
Samora alifanya jambo hili Kwa shingo upande,hata nchi zilizokuwa Mstari wa mbele na SADC hazikukubaliana.

Lakini Samora alifanya Yale kulinda maslahi ya Msumbiji na SI vinginevyo!

Kumbuka Siasa za Dunia miaka ile ndipo zilipoanza kugeuka kwa Kasi!

Ninachotaka kusema hapa kwenye Siasa hakuna maslahi ya kudumu!

Kuna wakati unasukumwa na Upepo na upepo wakati hio ndio Siasa Yenyewe

TaiFa letu limepitia kipinddi kigumu Cha kufanya Siasa Kwa kipindi Cha miaka mitano.

Vyama vua Upinzani vimekendamizwa Kwa kiwango kikubwa ,ilihitaji wenye Mioyo ya ziada kuhimili

Mbowe ni mojawapo ya waliopitia magumu,sio ktk Chama chake TU ,hata maisha take Binafsi.

Hatuwezi kusema yeye n Shujjaa wakuweza kuhimili yote.

Kuna wakati kwenye mapambano unaweza kurudi nyuma ,kupima upepo!
Siasa hutafsiriwa kuwa...Who ,Gain What,When and How.

Mnafikiri Mandela alitoka Gerezani ,bila ku'compromise.

Mabadiliko ya Kisera zaa Uwekezajji ktk nchi za Afrika ilikiwa ni mojawapo ya masharti na Makubaliano ya Mmandela ,Makaburu ,na wakubwa wngine'.Ndio maana hata sisi Tanzania tuligeuka ghafla tukaanza kuwaita Makaburu ...Wawekezaji😂

Hii ndio Siasa !

Msione ajabu Mh.Mbowe kwenda Kwa mama Usikuusiku!

Mbowe is there to Stand !
Na Yehova atasimama naye!
 
Ungesema ulitaka aende saa ngapi
Hiyo ,ilikuwa ni timing ya mfumo ...ingeqeza kutokea akaamua kwenda kununua mapeasi " Tandika Jana Jumamosi,...unajua kingetokea nini
 
Hili swali ulitakiwa umuulize Mbowe mwenyewe, au yule aliyemuita usiku huko Ikulu!
 
Mnaongea maneno mengi sana, kamanda amefika bei.

Yupo huru kwa gharama kubwa.
 
Mi japo kuwa ni mpenzi wa chadema, bado nawaza kwanini alikubali kwenda ikulu siku hiyohiyo tena usiku usiku.

Kulikuwa na haraka gani?

Kwanini?

Kufanya nini?
 
Sijui agenda ilikuwa ni nini!? Ila ninachojua ni kuwa, Mbowe hakwenda Ikulu bila kuitwa na Mwenye Ikulu.

Kikubwa ni kuwa, Mwenyekiti Mbowe aliitikia wito. Na muungwana huwa hakatai wito.
Asingeweza kukataa maana DPP hakuwa na mamlaka ya kumtoa,ni Rais ndiye aliyemuelekeza,so ilikuwa na moja ya kondisheni tu,haihitaji hata uwe umesoma politiko sayansi,hata sisi la saba C tunaona tu.

nchi hii DPP anadance according to president,refer awamu ya mwendazake
 
"sasa mheshimiwa Mbowe tuanze upya!yaliopita si ndwele!katiba hata mimi naitaka lakini Bado kuna mambo ya kurekebisha hasa Baada ya mtanziko wa miaka takriban sita ya Mwendazake!tunaomba usizuebtaharuki utulie Ili tuunde serikali ya umoja wa kitaifa halafu katiba Mpya itafuata!

Tulia sasa tufanye Mpango Mpya wa serikali mpya umenisikia?
 
Mi japo kuwa ni mpenzi wa chadema, bado nawaza kwanini alikubali kwenda ikulu siku hiyohiyo tena usiku usiku. Kulikuwa na haraka gani? Kwanini? Kufanya nini?
Hivi unaelewa maana ya 'maelekezo kutoka juu' ?
 

Dah! Umenikumbusha Nkomati Accord
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…