Tena alitakiwa afungwe mpaka pingu za kwenye miguu.Umewashtua... Kingai akiuona huu Uzi.
Kesho Mbowe ataletwa na Pingu.
Mpaka sasa hakuna shahidi aliyethibitisha kuwa mbowe ni gaidi
Ulitaka avae famba za vunja bei au?Mbowe ni Alpha male. Hao wengine ni riff raff au Gamma males kama ukitaka. Halafu nimeona Mbowe ana tabia ya kuvaa polo shirts za Hugo Boss Mahakamani.
Mtu wa Mungu na atamkomboa kwa yote yanayoendelea.Mbowe ni Alpha male. Hao wengine ni riff raff au Gamma males kama ukitaka. Halafu nimeona Mbowe ana tabia ya kuvaa polo shirts za Hugo Boss Mahakamani. Quite expensive shit kama ni the real thing.
Katili mno mtoa hoja hii,Mr.Mbowe sio Gaidi na pia hakuna ugaidi wa kufadhiliwa na 500usd hapa duniani!na mwisho ni Mr.Mbowe ni very very low risk suspect!
Naunga mkono hoja..tena alitakiwa afungwe mpaka pingu za kwenye miguu.
..it doesnt make sense wafuasi wa ugaidi wanafikishwa mahakamani wamefungwa pingu huku kiongozi wao hana pingu.
Hakimu anaandika maelezo ya mashahidi mwisho wa siku atajua nini aamue kama jajiMpaka sasa hakuna shahidi aliyethibitisha kuwa Mbowe ni gaidi
Binafsi nimekuelewaMbowe ni rahisi kumdhibiti kuliko hao komandoo.
wakiamua kulianzisha kwenye umati wa watu pale mahakamani, inaweza sababisha tatizo kubwa kwa raia wengine.
He is bilionareMbowe ni Alpha male. Hao wengine ni riff raff au Gamma males kama ukitaka. Halafu nimeona Mbowe ana tabia ya kuvaa polo shirts za Hugo Boss Mahakamani. Quite expensive shit kama ni the real thing.
Ama watuhumiwa wote wafungwe pingu au watuhumiwa wote wasifungwe pingu...
Wewe uliye muona hafungwi pingu nimbowe tu?! Huyo Jambazi wenu aliye fungwa miaka30 jela nilini uliyona kafungwa pingu hata baada ya mahakama kuthibitisha kuwa nijambazi..angalieni video hapo chini?
..kwanini Mbowe hafungwi pingu?...
IT'S EITHER..angalieni video hapo chini?
..kwanini Mbowe hafungwi pingu?...
Shabiki wa Chadema unayemchukia Mbowe..ama watuhumiwa wote wafungwe pingu.
..au watuhumiwa wote wasifungwe pingu...