Duu, Vipi kuhusu Osama bin Laden, naye angefaa kuwa treated kama unavyowaza?Hebu tujaribu mfano wa vita.
Askari mateka na jemadari wao, hufanziwa sawasawa?
Kuna aina fulani ya 'protokali hufuatwa.
CCM wanawachukulia CHADEMA kama wanapambana nao kivita. Wanategemea kwamba endapo siku moja CHADEMA akishinda vita hiyo, basi asiwasulubu viongozi wa CCM kwa kuwavalisha pingu!
Mfano niliotoa hauhusiani kivyovyote na huyo unayemsema hapa!Duu, Vipi kuhusu Osama bin Laden, naye angefaa kuwa treated kama unavyowaza?
Wewe ndiye umemuelewa JokaKuuNikuombe umtake radhi kwanza JokaKuu kwa kutukana, humjui vizuri na pia hujaelewa dhima ya uzi huu. Hii aina ya uandishi anapenda sana kuitumia Mzee Mwanakijiji inaitwa 'satire'. 'in a satirical way'
😅😅sijui wakojeMkuu hao "wanyonge" hizo ndio akili zao. Wametawaliwa wivu na roho mbaya
Inashangaza sana walivyomwandama ili hali yuko upande wao.Wewe ndiye umemuelewa JokaKuu
Hawa vijana bado sana kuweza kufikiri kwa kiwango hicho
Cc Mjuni Lwambo
Nadhani hata jkt hakwenda kwa hiyo kumdhibiti ni sawa na kushika kifaranga cha kuku. Hao wengine issue ya Tamim komandoo bado tunaikumbuka.
Hahaha komandoo wa kosa la ugaidi aliyenunuliwa nyama choma na energy pale boma ng'ombe kabla ya kuendelea na safar.. hahaha .... kingai bwana ndo mana ulifeli std hapo bumbuli primary school bro. Nashukuru mzee makambaMbowe ni rahisi kumdhibiti kuliko hao komandoo.
wakiamua kulianzisha kwenye umati wa watu pale mahakamani, inaweza sababisha tatizo kubwa kwa raia wengine.
Kwani Mbowe si ni bilionea...Mbowe ni Alpha male. Hao wengine ni riff raff au Gamma males kama ukitaka. Halafu nimeona Mbowe ana tabia ya kuvaa polo shirts za Hugo Boss Mahakamani. Quite expensive shit kama ni the real thing.
Uonevu tupuMtu wa Mungu na atamkomboa kwa yote yanayoendelea.
Mungu hajawahi shindwa.
2IT'S EITHER
1. Kwa sababu hao ni askari hatari wenye mafunzo ya "u - komandoo" huku Mbowe yeye akiwa ni raia tu asiye na madhara yoyote...
OR
2. Kwa sababu wanajua kuwa Mbowe SI GAIDI..
Wanataka kumdhalilishaAkitiwa pingu utafaidi nini, wachawi mpo kila mahali
Kwani mpaka ujitambulishe kwa itikadi yako ya Chama? kwani hapa JF ni mahali pa kujitambulisha itikadi zetu za chama? Wewe toa hoja basi, hayo mengine ya Chama baki nayo moyoni mwako.Ama watuhumiwa wote wafungwe pingu au watuhumiwa wote wasifungwe pingu.
pasiwepo na ubaguzi miongoni mwa watuhumiwa.
..mimi ni shabiki wa Chadema lakini jambo hili linanichukiza.
Siyo kila mtuhumiwa hufungwa pingu. Mtuhumiwa hufungwa pingu kwa sababu kadhaa zikiwemo za uimara wa mtuhumiwa kinguvu, uthubutu wa mtuhumiwa kutishia kutoroka, ukorofi wa mtuhumiwa, kiwango cha kuaminika cha mtuhumiwa mbele ya jamii, hadhi ya mtuhumiwa mbele ya jamii, maagizo toka juu, n.kIT'S EITHER
1. Kwa sababu hao ni askari hatari wenye mafunzo ya "u - komandoo" huku Mbowe yeye akiwa ni raia tu asiye na madhara yoyote...
OR
2. Kwa sababu wanajua kuwa Mbowe SI GAIDI..
Mi mwenyewe nashindwa kuelewa,kwa nn wengine wafugwe pingu na yy asipigwe pingu!!??, Wakati wote goal yao ilikuwa ni moja!!??. polisi msituudhi watz !! Kama ni hivyo wote wasifugwe pingu au wote pamoja na na gaidi na .1 wafungwe pingu .Naunga mkono hoja
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuuliza hayo maswali kwani majibu yapo waziwazi unayapata tu kwa kuangalia picha. Mnafikili hao askali magereza ni vilaza kama nyie??