Kwanini French speaking African nations ndio zina vita tu?

Kwanini French speaking African nations ndio zina vita tu?

Ufaransa walitawala nchi hizo kwa mtindo.wa divide and rule, kutengeneza matabaka na kuyachonganisha.
Zile chuki.zimedumu hadi sasa.
Sio kweli,ufaransa haikutumia huo mfumo,instead ufaransa ilitumia assimilation policy yani iliyachukulia makoloni yake kama territories zake zilizo overseas.
 
Back
Top Bottom