Kwanini fukwe za Tanzania hazina wanawake warembo?

Unasema tunaenda kudanga beach
Sijasema neno kudanga mkuu, nimesema kuangalia fursa! Kuna bro wangu kafunga ndoa mwezi ulopita na mkewe walikutana hapo Coco mie pia nna karembo flani pia nilikutana nako Ndege beach
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…